FactCheck: Je, ATCL imefuta safari za Ndege kuelekea Chato Geita?

Yasemekana hauna abiria wa kutosha kupeleka ndege.

=====

UPDATES

======

Fact Check: Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) halijafuta safari zake kuelekea Geita ambapo ndege hutua katika Uwanja wa Ndege wa Chato.

Hivi karibuni kumekuwa na uvumi unaonezwa katika mitandao ya kijamii ambayo haina uthibitisho wa Tangazo wanalolisambaza. ATCL haijatoa kauli yoyote ya kufuta safari kuelekea Geita.

Tunaandika taarifa hizi tukiwa tumewasiliana na ATCL ambao wamesema safari ziko tatu kwa wiki kama ilivyokuwa awali na ndege hutua uwanja wa ndege wa Chato
Chato is a revolving economic center for sardine, gold, and natural resources business on the west lake zone, therefore it is a nightmare to think of closing down Chato airport as the haters propagate in the media.

Bagamoyo kuna shamaba la wanyama pori hapo Kiromo lakini hakuna anayelisemea kisa chuki binafsi; Mbeya kuna zoo ya wanyama pori huko Ifisi Mbalizi lakini hakuna mtu anayesemea kuhusiana na hilo kisa chuki binafsi. Tanza katika wilaya za Pangani na Mchinga kuna viongozi wakubwa wana mashamba ya kufuga wanyama pori lakini hakuna hata mmoja anayejitokeza kulisemea wamekazania kusema kuhusu Chato kisa chuki binafsi
 
Chato is a revolving economic center for sardine, gold, and natural resources business on the west lake zone, therefore it is a nightmare to think of closing down Chato airport as the haters propagate in the media.

Bagamoyo kuna shamaba la wanyama pori hapo Kiromo lakini hakuna anayelisemea kisa chuki binafsi; Mbeya kuna zoo ya wanyama pori huko Ifisi Mbalizi lakini hakuna mtu anayesemea kuhusiana na hilo kisa chuki binafsi. Tanza katika wilaya za Pangani na Mchinga kuna viongozi wakubwa wana mashamba ya kufuga wanyama pori lakini hakuna hata mmoja anayejitokeza kulisemea wamekazania kusema kuhusu Chato kisa chuki binafsi
Hiyo mifano ya Kiromo Bagamoyo na Ifisi Mbeya haifanani na kuhamisha wanyama Serengeti na kuwapeleka Burigi kwa fedha za umma. Ifisi na Kiromo ni zoo wakati Burigi ni pori la akiba. Isitoshe wanyama waliopelekwa wamekwisha kimbia
 
Hiyo status ya International uliipa wewe?

Uwanja wa Chatto unajulikana officially kama Geita Airport (IATA Code: GIT). hiyo "International" imetoka wapi?

Mnaongea vitu kumbe kichwani weupe kabisa.

Uwanja unapewa hiyo status kutokana na ukubwa wa ndege zinazoweza kutua hapo wewe mbwiga!! Malundo ya hela aliyolipwa Mayanga Construction hawezi KUWA alikuwa anajenga kiwanja cha mpira!! Ndege ya ukubwa wa DREAMLINER haiwezi kutua kiwanja cha Sumbawanga!!!
 
Chato is a revolving economic center for sardine, gold, and natural resources business on the west lake zone, therefore it is a nightmare to think of closing down Chato airport as the haters propagate in the media.

Bagamoyo kuna shamaba la wanyama pori hapo Kiromo lakini hakuna anayelisemea kisa chuki binafsi; Mbeya kuna zoo ya wanyama pori huko Ifisi Mbalizi lakini hakuna mtu anayesemea kuhusiana na hilo kisa chuki binafsi. Tanza katika wilaya za Pangani na Mchinga kuna viongozi wakubwa wana mashamba ya kufuga wanyama pori lakini hakuna hata mmoja anayejitokeza kulisemea wamekazania kusema kuhusu Chato kisa chuki binafsi

Huko Ifisi Mbalizi hiyo Zoo inatunzwa na serikali? Na huko kwingine unakosema kuna wakubwa wana mashamba ya wanyama pori hayo mapori yanatunzwa na serikali? Huko CHATTLE mapori ya wanyama yanahudumiwa na serikali ndio tofauti!!
 
Long term business plan kabla ya Magufuli walikuwa na ndege gani yakuwafanya wawe na long term business plan?

Sent using Jamii Forums mobile app

Walikuwa na mpango wa kununua na wao ndio walioanza kununua hata hizo BOMBADIER mbili! Magufuli pia alitumia DEPOSIT yao kumalizia kunua BOMBARIER mbili zingine. Watu hawajaelezwa hilo kwa kutaka kumjaza sifa Jiwe. Plan yao Ilikuwa baada ya kusatisfy local market then they would start operating REGIONAL flights and ultimately they would have gone international where the acquisition of DREAMLINER planes was expected. Every step had to be implemented step by step and not haphazardly.
 
Ngoja nikusaidie kama hunauelewa wa aviation. Ni hivi kutoka Dar to Chato then Mwanza back to Dar ni route njema na wala hakuna hasara yamafuta hata tukipata abilia wawili wa kushuka na kupanda ila in avaerage tunashusha 10 na kupandisha 8-10, sasa kwa kuwa tunakuwa intransit hiyo iko vyema.Shida ingekuwa ni route ya kutoka Dar to chato then to Dar hapo ingekuwa ni issue
Sidhani kama ni kweli kuna hao abiria 10.
 
Walikuwa na mpango wa kununua na wao ndio walioanza kununua hata hizo BOMBADIER mbili! Magufuli pia alitumia DEPOSIT yao kumalizia kunua BOMBARIER mbili zingine. Watu hawajaelezwa hilo kwa kutaka kumjaza sifa Jiwe. Plan yao Ilikuwa baada ya kusatisfy local market then they would start operating REGIONAL flights and ultimately they would have gone international where the acquisition of DREAMLINER planes was expected. Every step had to be implemented step by step and not haphazardly.
Mkuu unachekesha! ATCL enzi ya JK ipange kununua ndege mpya? Wakati ilikuwa inakodi mbovu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unachekesha! ATCL enzi ya JK ipange kununua ndege mpya? Wakati ilikuwa inakodi mbovu!

Sent using Jamii Forums mobile app

Ilinunua Bombadier mbili na kuweka deposit nyingine mbili ,deposit aliyotumia Magufuli kununua hizo mbili nyingine!! Find out from the people in the know. Hizo zilinunuliwa baada ya fiasco ya AIRBUS mbovu waliyokodisha kwa kuingizwa mkenge na Mchina!!
 
Ilinunua Bombadier mbili na kuweka deposit nyingine mbili ,deposit aliyotumia Magufuli kununua hizo mbili nyingine!! Find out from the people in the know. Hizo zilinunuliwa baada ya fiasco ya AIRBUS mbovu waliyokodisha kwa kuingizwa mkenge na Mchina!!


Walinunua wakati gani mtazamo wa J.K kwenye shirika la ATCL huo hapo.

Katika taasisi ambayo aliisha kubali ni ‘sikio la kufa,...’ moja ni hiyo.

Msikilize mwenyewe kwenye hiyo clip; J.K asingeweza kuwanunulia ndege ATCL miaka 800 hakuwa na imani kabisa na uwezo wa management kufanya biashara yenye faida.

Na ndio kinachoendelea, but give credits kwa mtu aliezinunua; mengine ni maombi tu kwa mungu management wafanikiwe hakuna namna nyingine maana hela ishatumika.
 


Walinunua wakati gani mtazamo wa J.K kwenye shirika la ATCL huo hapo.

Katika taasisi ambayo aliisha kubali ni ‘sikio la kufa,...’ moja ni hiyo.

Msikilize mwenyewe kwenye hiyo clip; J.K asingeweza kuwanunulia ndege ATCL miaka 800 hakuwa na imani kabisa na uwezo wa management kufanya biashara yenye faida.

Na ndio kinachoendelea, but give credits kwa mtu aliezinunua; mengine ni maombi tu kwa mungu management wafanikiwe hakuna namna nyingine maana hela ishatumika.


Huo ni msimamo wake baada ya kuondoka madarakani sio alipokuwa madarakani. Je wewe unajua KUWA kulikuwa na mkono wake kwenye kukodi ile AIRBUS iliyoiingizia madeni ya Mabilioni ATCL? Yule Mchina aliyekuwa dalali wa kukodi ile ndege alikuwa akija nchini anakutana na Kikwete na Mattaka tu kuhusu deni lile; hata board ya ATCL hawakujua kilichokuwa kinaendelea!!! Alimteua mattaka pale kwa makusudi kabisa!
 
Huo ni msimamo wake baada ya kuondoka madarakani sio alipokuwa madarakani. Je wewe unajua KUWA kulikuwa na mkono wake kwenye kukodi ile AIRBUS iliyoiingizia madeni ya Mabilioni ATCL? Yule Mchina aliyekuwa dalali wa kukodi ile ndege alikuwa akija nchini anakutana na Kikwete na Mattaka tu kuhusu deni lile; hata board ya ATCL hawakujua kilichokuwa kinaendelea!!! Alimteua mattaka pale kwa makusudi kabisa!
Nimekuwekea clip hiyo straight from the horses mouth.

Alishawachoka mpaka hela ya mafuta walikuwa wanategemea serikali na madeni ya kibiashara ilipe serikali (ajabu yale Nehemia NHC anataka yalipiwe na serikali na sasa TANESCO inaelekea huko huko).

Hiyo sio clip pekee zipo kadhaa J.K alikuwa hana imani kabisa na management ya ATCL ata kwenye hiyo clip unamsikia wazi kabisa akielezea alishakata tamaa na hao jamaa.

Kwake investment yoyote kwa ATCL ni kujaza maji kwenye pipa lenye tobo; kazi bure.

Asingeweza wapa hela ya ndege mpya management aliyoiacha miaka 800 ata angekuwa nazo, alikuwa hana imani kabisa weledi wao.
 
Asingeweza wapa hela ya ndege mpya management aliyoiacha miaka 800, hakuiamini kabisa weredi wao

Kwanini haku terminate hiyo management bali aliendelea kuwafadhili? Na akawa anateua maswahiba wake kuliongoza shirika tena wasiokuwa na uelewa wa AVIATION!!! Kwenye hiyo clip kama kawaida yake he was passing the buck; and he is a master at that!
 
Back
Top Bottom