Hatimae Ndege kubwa (Air Bus) yaanza safari zake Uwanja wa Songwe Airport Viongozi wafunguka mazito

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,305
24,198
03 August 2022

Kuna Uhitaji Mkubwa wa Huduma za ndege kubwa nyada za juu kusini

Ndege kubwa ya ATCL aina ya Airbus A220-300 yaanza safari zake uwanja wa Songwe. Viongozi wafunguka kigugumizi kilichokuwepo cha ndege kutua usiku kutokana na kukosekana taa za uwanjani, ambapo sasa tayari zimefungwa ktk runway / njia ya kutua ndege hivyo kumaliza changamoto ya safari za usiku na mapema asubuhi.

Waziri mdogo wa ujenzi Mh. Atupele Mwakibete asema, anategemea sasa pia ndege za mashirika makubwa kama KLM n.k zenye miruko ya kufika Kilimanjaro International Airport sasa pia kutua Songwe international airport mkoani Mbeya kutoka ulaya n.k ili kuweza kukuza biashara

Source : Site TV online
 
Good progress. Ila ndege huwa haziji kwa kuomba kisiasa kihivyo. Kama kuna biashara xitakuja. Watengeneze mazingira.

Kutua hapo leo nadhani ilikuwa imejaa viongozi badala ya wananchi wa kawaida maana yake imeanza kwa mwendo wa hasara, ATCL wajipime kupunguza matumizi, wasitoe tickets za bure kwa viongozi, wapunguze idadi ya wafanyakazi, wateue mawakala watakaokuwa wanatoa wafanyakazi wa msimu kama vile ilivyo mashamba ya chai huwezi kuajiri mchuma chai alipwe kama mfanyakazi wa kudumu. Mchuma chai huajiriwa kama kibarua wa msimu n.k
 
Air Tanzania angalieni bei zenu, ziko juu sana. Yaani Dar to Mwanza min 300K one way, wakati lile chai maharage Fast jet ilikuwa 150K na hiyo 300k ni go and return.

Air Tanzania hii enzi za Fast jet na Precission on peak, Dar to Mwanza mlikuwa mnakwenda kwa 180K tena ile ndege ya kukodi.

Mjaribu kuwa business oriented kidogo, cheap, more routes, more money, more business and open up the country.
 
03 August 2022

Kuna Uhitaji Mkubwa wa Huduma za ndege kubwa nyada za juu kusini

Ndege kubwa ya ATCL aina ya Airbus A220-300 yaanza safari zake uwanja wa Songwe. Viongozi wafunguka kigugumizi kilichokuwepo cha ndege kutua usiku kutokana na kukosekana taa za uwanjani, ambapo sasa tayari zimefungwa ktk runway / njia ya kutua ndege hivyo kumaliza changamoto ya safari za usiku na mapema asubuhi.

Waziri mdogo wa ujenzi Mh. Atupele Mwakibete asema, anategemea sasa pia ndege za mashirika makubwa kama KLM n.k zenye miruko ya kufika Kilimanjaro International Airport sasa pia kutua Songwe international airport mkoani Mbeya kutoka ulaya n.k ili kuweza kukuza biashara

Source : Site TV online

Nani aliyeturoga?
 
Air Tanzania angalieni bei zenu, ziko juu sana. Yaani Dar to Mwanza min 300K one way, wakati lile chai maharage Fast jet ilikuwa 150K na hiyo 300k ni go and return.

Air Tanzania hii enzi za Fast jet na Precission on peak, Dar to Mwanza mlikuwa mnakwenda kwa 180K tena ile ndege ya kukodi.

Mjaribu kuwa business oriented kidogo, cheap, more routes, more money, more business and open up the country.

Nakiri sifahamu nauli zikoje lakini tutakwama na ndege hizi kama tutakwepa kuzifanya kuwa affordable! Wanatakiwa kuwa na ndege zilizojaa na safari nyingi - sio safari nyingi zikiwa na abiria wachache. Budget airlines Ulaya wameweza (na hawana mafuta), sisi tunashindwaje kuiga? Haya, Ulaya mbali - FastJet iliweza hii model, tunashindwaje na sisi tuli-regulate operations zao??

Sijui kwanini ninahisi professionals wanafanyiwa maamuzi na viongozi wa kisiasa kwa kutumia political optics. Nakumbuka ATCL akitoa gawio lakini mwaka uliofuata akiwa amepata hasara 15-fold ya gawio.
 
Mambo ya kishamba sana haya na yanatuchoresha. Miaka 60 taifa kubwa kama Tanzania tumechelewa sana hadi kukaa kujisifu na maswala ya usafiri wa anga.

Serikali ina watendaji walugaluga sana. Hivi huwezi tu kurusha ndege kimya kimya kampuni itadeal na matangazo bila kiongozi yoyote kuleta pigo za kishamba kama hiz.
 
Air Tanzania angalieni bei zenu, ziko juu sana. Yaani Dar to Mwanza min 300K one way, wakati lile chai maharage Fast jet ilikuwa 150K na hiyo 300k ni go and return.

Air Tanzania hii enzi za Fast jet na Precission on peak, Dar to Mwanza mlikuwa mnakwenda kwa 180K tena ile ndege ya kukodi.

Mjaribu kuwa business oriented kidogo, cheap, more routes, more money, more business and open up the country.

Lakini bado zinajaza mzee
 
Nakiri sifahamu nauli zikoje lakini tutakwama na ndege hizi kama tutakwepa kuzifanya kuwa affordable! Wanatakiwa kuwa na ndege zilizojaa na safari nyingi - sio safari nyingi zikiwa na abiria wachache...
Abiria wapo? Mtwara kuna siku Precision na ATCL wanarukaga na abiria 4 hadi sita kwa ATR72 (precision). Hapo unategemea nini?
 
Air Tanzania angalieni bei zenu, ziko juu sana. Yaani Dar to Mwanza min 300K one way, wakati lile chai maharage Fast jet ilikuwa 150K na hiyo 300k ni go and return...

Pia nimeona waziri Atupele Mwakibete akisema wananunua ndege zingine kwa cash.

Duniani mashirika yote makubwa kadhaa ya Marekani ya Kaskazini, Ulaya, Asia, Oceania, Afrika kama Ethiopian Airlines hata Kenya Airways hutumia hukodisha madege kwa mkataba na siyo kununua kwa cash.


Sababu ni nyingi chanya za kukodisha ndege mfano kama kuna COVID-19 au balaa lolote kidunia basi wakodishaji ndege wanaelewa na kufanya wepesi kupitia mikataba ili kuleta unafuu kwa wote wanaofanya biashara ya ndege duniani kwa ukodishaji tofauti na yule aliyekimbilia kununua madege kwa cash toka kwa muundaji ndege mfano ATCL atakufa nalo zimwi hili la COVID-19, vita ya Ukraine na Urusi n.k

AERCAP.COM Baba wa ukodishaji ndege ambaye ni kimbilio yupo Ireland na analeta unafuu kwa mashirika ya ndege ya pande mbalimbali walioona unafuu na umuhimu wa kuendesha kampuni zao kwa njia ya ukodishaji :
Source :


AerCap Leased, Purchased and Sold 184 Assets in the Second Quarter 2022​

DUBLIN – July 12, 2022 – AerCap Holdings N.V. (“AerCap”) (NYSE: AER) has announced its major business transactions during the second quarter 2022:

  • Signed 125 lease agreements, including 11 widebody aircraft, 43 narrowbody aircraft, 2 regional jets, 32 engines and 37 helicopters.
  • Completed 16 purchases for 13 aircraft (including 9 Airbus A320neo Family aircraft and 1 Airbus A220 aircraft for AerCap’s owned aircraft portfolio and 3 aircraft for AerCap’s managed aircraft portfolio), 1 engine and 2 helicopters.
  • Executed 43 sale transactions for 27 aircraft (including 1 Airbus A320 Family aircraft, 2 Airbus A320neo Family aircraft, 2 Airbus A330s, 3 Boeing 737 MAX aircraft, 5 Boeing 737NGs, 6 Boeing 767-300ERs and 1 Boeing 747-400F from AerCap’s owned aircraft portfolio and 7 aircraft from AerCap’s managed aircraft portfolio), 12 engines and 4 helicopters.

About AerCap

AerCap is the global leader in aviation leasing with one of the most attractive order books in the industry. AerCap serves approximately 300 customers around the world with comprehensive fleet solutions. AerCap is listed on the New York Stock Exchange (AER) and is based in Dublin with offices in Shannon, Miami, Singapore, Memphis, Amsterdam, Shanghai, Abu Dhabi, Seattle, Toulouse and other locations around the world .... Source : Media - News
 
11 March 2021
AerCap CEO Aengus Kelly discusses the company's acquisition of GE's aircraft leasing business in a deal valued at $30 billion.



Source : CNBC International
 
Nakiri sifahamu nauli zikoje lakini tutakwama na ndege hizi kama tutakwepa kuzifanya kuwa affordable! Wanatakiwa kuwa na ndege zilizojaa na safari nyingi - sio safari nyingi zikiwa na abiria wachache. Budget airlines Ulaya wameweza (na hawana mafuta), sisi tunashindwaje kuiga? Haya, Ulaya mbali - FastJet iliweza hii model, tunashindwaje na sisi tuli-regulate operations zao??

Sijui kwanini ninahisi professionals wanafanyiwa maamuzi na viongozi wa kisiasa kwa kutumia political optics. Nakumbuka ATCL akitoa gawio lakini mwaka uliofuata akiwa amepata hasara 15-fold ya gawio.
Tutengeneze kundi kubwa la wananchi lenye uwezo wa kulipa nauli za ndege. Haya mawazo yasiyo na vigezo na upofu wa uelewa hayaisadii ATCL. Najiuliza, hivi Precision hakupenda kutengeneza faida? Maana alikuwapo pekee yake kwa kipindi kirefu na bei zilikuwa juu sana. Hakuliona hilo ili apate faida kwa haraka?ukipata majibu ya maswali haya utajua kuwa ATCL wako sahihi na waendelee kufanya hivyo sio bra bra za JF zisizo na uchunguzi. Fast jet asingedumu na ndio maana alichagua njia chache sana. Starehe gharama mgosi.
 
Tutengeneze kundi kubwa la wananchi lenye uwezo wa kulipa nauli za ndege. Haya mawazo yasiyo na vigezo na upofu wa uelewa hayaisadii ATCL. Najiuliza, hivi Precision hakupenda kutengeneza faida? Maana alikuwapo pekee yake kwa kipindi kirefu na bei zilikuwa juu sana. Hakuliona hilo ili apate faida kwa haraka?ukipata majibu ya maswali haya utajua kuwa ATCL wako sahihi na waendelee kufanya hivyo sio bra bra za JF zisizo na uchunguzi. Fast jet asingedumu na ndio maana alichagua njia chache sana. Starehe gharama mgosi.
Point
 
03 August 2022

Kuna Uhitaji Mkubwa wa Huduma za ndege kubwa nyada za juu kusini

Ndege kubwa ya ATCL aina ya Airbus A220-300 yaanza safari zake uwanja wa Songwe. Viongozi wafunguka kigugumizi kilichokuwepo cha ndege kutua usiku kutokana na kukosekana taa za uwanjani, ambapo sasa tayari zimefungwa ktk runway / njia ya kutua ndege hivyo kumaliza changamoto ya safari za usiku na mapema asubuhi.

Waziri mdogo wa ujenzi Mh. Atupele Mwakibete asema, anategemea sasa pia ndege za mashirika makubwa kama KLM n.k zenye miruko ya kufika Kilimanjaro International Airport sasa pia kutua Songwe international airport mkoani Mbeya kutoka ulaya n.k ili kuweza kukuza biashara

Source : Site TV online

Safii
 
Back
Top Bottom