Perfect...!Labda viwanda vya kufikirika
Kwani wewe hujaiona strategy no. 1 ya serikali ya awamu ya 5 ya JPM ya kuelekea kwenye TZ ya viwanda, namna wanavyojitahidi 'kulinyonga' fao la kujitoa kwenye mifuko ya Hifadhi ya Jamii kwa wafanyakazi ili pesa hizo zikajenge viwanda?!
Sasa wewe Unataka strategy gani zaidi ya ile aliyotoa Mkulu ya kuwahimiza wa TZ wafyatue watoto wengi kwenye 'viwanda' vya kwenye kaya zao?!
It is very true.Labda viwanda vya mikwara na kufoka