FACT: Tanzania ya Magufuli haina Industrial Strategy

FACT: Tanzania ya Magufuli haina Industrial Strategy

Wakuu wa wilaya wametakiwa kusimamia na kuhakikisha vwanda vinajengwa
Mkuu wa wilaya anayo taaluma ya biashara ya viwanda? Wawekezaji atawapata wapi huyo mkuu wa wilaya? Hizi amri ni sawa na baba mlevi anapomwambia mkewe watoto leo wale pilau na kuku, wakati hata hela hakuwacha na mke hajui ataipata wapi hio hela.
 
hii ni nini?

21105440_10207846132871122_4804303603628856569_n.jpg


21192955_10207846134631166_5558708218314003957_n.jpg


21149965_10207846136671217_3133617231984677490_n.jpg
 
Wewe elewa tu kuwa Tanzania ya viwanda inakuja, na pia Tanzania ya Magufuli ni Tanzania ya viwanda.

Mambo ya strategy tuwaachie wazungu. Mifuko ya jamaa imezuia fao la kujitoa ili wajenge viwanda. Ni viwanda, viwanda, viwanda. Tunaweza kuweka viwanda kila kata kama shule za sekondari. Hapa Kazi Tu
I see
 


Kama ipo ileteni hapa tuone iliandikwa na nani na how ambitious is it na je inaendana na hii karne tuliyopo au bado iko kwenye zama za stone age?

Nishatafuta sana hii kitu kwenye website za wizara na serikali sijaipata

This document is harder to find than ile ya muungano wa Tanganyika na Unguja[/QUOT
You can only hear from them talking with confidences all the time
 
Back
Top Bottom