- Thread starter
- #21
Wako katika mgomo wa sheria inayotaka kuanzishwa Umarekani. Kama Wikipedia.
mbona nagoogle facebook strike sipati any news,wewe ulitoa wapi hizi info au umeniingiza chaka mwana wa mwenziO?lol
Wako katika mgomo wa sheria inayotaka kuanzishwa Umarekani. Kama Wikipedia.
nini itakuwa tatizo jamani,nikifungua inakuja white blank page....kwa accounts zote tatu ni hivyo hivyo.....mnh
wamejua una account nyingi. kama vp update. ova
wamejua una account nyingi. kama vp update. ova
nipe username yako na password nikusaidie ku-loginjamani facebook ina matatizo gani au wamehack accounts zangu,embu jaribuni kwenu inapatikana????
K*U*M*A KIBUYU! Mambo ya fb humu jamvini yanafanya nn? mamod ondoeni hii ki2 agriiiiii#'!*¥,..........
Soma kuhusu SOPA na PIPA utaelewa kinachoendelea.
Soma kuhusu SOPA na PIPA utaelewa kinachoendelea.
K*U*M*A KIBUYU! Mambo ya fb humu jamvini yanafanya nn? mamod ondoeni hii ki2 agriiiiii#'!*¥,..........
Acha kauli chafu wee...
yap,lol...afu moja ya kiume hahahaha
lione vile.....kama lilevi??!!! acha matusi ya reja reja hapa sio baa...eboh!
nini itakuwa tatizo jamani,nikifungua inakuja white blank page....kwa accounts zote tatu ni hivyo hivyo.....mnh