Mtandao wa Facebook una users karibuni billion moja na million 400 na kati ya hao Users toka Africa ni wengi kiasi cha robo nzima.
Hivi jana yametokea mashambulizi ya kigaidi nchini Ufaransa na katika kuonyesha solidarity Facebook wameweka special icon ya mtu kuweka bendera ya Ufaransa (transparent) plus picha yako ili iwe profile picture.
Utaratibu huu ni mzuri ukizingatia unaonyesha solidarity katika janga lililowakumba ndugu zetu. Lakin April 2 2015 lilitokea shambulizi lilichukua maisha ya watu wengi zaid kuliko hata hili huko Garissa Kenya kana kwamba ni tukio la kawaida hakukuwa na bendera ya Kenya wala special privilledge kwa watu wa Kenya.
Hapa nadiriki kusema Facebook wanaonyesha kulemewa na itikadi za ukanda, ubaguzi, kutokua na usawa ilhali Wakenya ni moja ya mataifa makubwa yenye watumiaji wengi Facebook Africa baada ya South Africa na Nigeria of which ni wachangiaji wakubwa wa pato la Facebook.
Hii ndio picture halisi ya hali ilivyo kati ya mataifa ya Ulaya na Africa ingawa wanajitahidi sana kupaint ionekane wako concerned na kuna concern kubwa lakin Genocide za Rwanda na Burundi, vita za Wenyewe kwa wenyewe na vifo vya wapigania Uhuru kama Lumumba na Nkurhuma ni ushahidi tosha kuwa mikono na fikra zao hazina huruma wala concern dhidi ya waafrika.
anaitwa #Mark Zuckerberg# hata Facebook Ana account kule,unashindwaje kumdirect huyo then unaleta umbeya jamii????
anaitwa #Mark Zuckerberg# hata Facebook Ana account kule,unashindwaje kumdirect huyo then unaleta umbeya jamii????
Mkuu huu sio umbeya,jamaa kafanya vema kabisa,mimi km Mwafrika wala sikubaliani na mtindo wa hawa ma-butterflies kwani kuna kila harufu ya Ubaguzi,Waafrika tuungane kuupinga.
Good answer for foolish question
Hivi unajiungaje Facebook ?
Kwahiyo unatakaje, wao wamekaa darasani na kubuni facebook, kwenu Tanzania mmebuni nini cha maana
tatizo la waafrica ni viongozi wabovu tuna watu wanaweza kuanzisha mitandao ya kuunganisha waafrica lakini serekali za africa watazifunga kama zinasema maovu yao, sijaona kiongozi wa africa mwenye ndoto za kuwajenga wanachi wake ili waweze kupambana ktk ulimwengu, wala hawana ndoto za kujenga mataifa yao yawe makubwa kiuchumi,kisiasa na kijamii, wao ni kuiba na wanafurahi kuona watu wao wakiwa maskini, ili waendelee kuiba na kuwafanya watumwa