Facebook wamefeli kuhusu tukio la Ufaransa

Facebook wamefeli kuhusu tukio la Ufaransa

Unaleta matusi bila ya kujibu hoja, nakuweka pembeni
 
Mimi sioni tatizo. Wao wanashindwa kudisco Syria kwa sababu ya makombora mengi wanayorushiwa na hawa jamaa? Kwa nini wawaruhusu wao kutazama concert?
 
DDOS ATTACK-JamiiForum ndi maana tunafungiwaga website yetu ya JF kwa sababu ya We dare just talk openly,tupunguze ukweli he mzungu akisoma posts hii c watatufungia tena.
I love @JF.
 
DDOS ATTACK-JamiiForum ndi maana tunafungiwaga website yetu ya JF kwa sababu ya We dare just talk openly,tupunguze ukwelimzungu akisoma posts hii c watatufungia tena.
I love @JF.
 
Mtandao wa Facebook una users karibuni billion moja na million 400 na kati ya hao Users toka Africa ni wengi kiasi cha robo nzima.

Hivi jana yametokea mashambulizi ya kigaidi nchini Ufaransa na katika kuonyesha solidarity Facebook wameweka special icon ya mtu kuweka bendera ya Ufaransa (transparent) plus picha yako ili iwe profile picture.

Utaratibu huu ni mzuri ukizingatia unaonyesha solidarity katika janga lililowakumba ndugu zetu. Lakin April 2 2015 lilitokea shambulizi lilichukua maisha ya watu wengi zaid kuliko hata hili huko Garissa Kenya kana kwamba ni tukio la kawaida hakukuwa na bendera ya Kenya wala special privilledge kwa watu wa Kenya.

Hapa nadiriki kusema Facebook wanaonyesha kulemewa na itikadi za ukanda, ubaguzi, kutokua na usawa ilhali Wakenya ni moja ya mataifa makubwa yenye watumiaji wengi Facebook Africa baada ya South Africa na Nigeria of which ni wachangiaji wakubwa wa pato la Facebook.

Hii ndio picture halisi ya hali ilivyo kati ya mataifa ya Ulaya na Africa ingawa wanajitahidi sana kupaint ionekane wako concerned na kuna concern kubwa lakin Genocide za Rwanda na Burundi, vita za Wenyewe kwa wenyewe na vifo vya wapigania Uhuru kama Lumumba na Nkurhuma ni ushahidi tosha kuwa mikono na fikra zao hazina huruma wala concern dhidi ya waafrika.

Kuna aliyewalazimisha kuungana na mashoga wanaojiiita fb? Waafrika mkome na kurukia vitu vya watu eti kiss vimetoka ulaya
 
Kuna aliyewalazimisha kuungana na mashoga wanaojiiita fb? Waafrika mkome na kurukia vitu vya watu eti kiss vimetoka ulaya

Lakini hakukus na sababu ya kujibu kwxugomvi na matusi ila kama ndio njia uliyochagua sawa mimi sina neno.
 
anaitwa #Mark Zuckerberg# hata Facebook Ana account kule,unashindwaje kumdirect huyo then unaleta umbeya jamii????

Mkuu huu sio umbeya,jamaa kafanya vema kabisa,mimi km Mwafrika wala sikubaliani na mtindo wa hawa ma-butterflies kwani kuna kila harufu ya Ubaguzi,Waafrika tuungane kuupinga.
 
Mkuu huu sio umbeya,jamaa kafanya vema kabisa,mimi km Mwafrika wala sikubaliani na mtindo wa hawa ma-butterflies kwani kuna kila harufu ya Ubaguzi,Waafrika tuungane kuupinga.

Waafrika wapi "Wanaounga mkono Wazungu au Waarabu"??
 
Good answer for foolish question

Kweli wewe ni Mjinga km ulivyojiita yaani upo confortable na manyanyaso ya Waafrika wenzako!!,Ama kweli "AFRIKA JINGA SANA".Wenzetu wanaungana kuokoana,Sisi tunaangamiza;huo ndo wendawazimu wa Ngozi nyeusi.
 
Hoja yako imepinda. Ingekuwa Facebook wameanza kwa kujali Wafaransa wachache, halafu hawakujali Wakenya wengi waliouawa baadaye, labda ungekuwa na hoja.

Vipi kama wameamua kufanya hivyo baada ya kuona matukio ya ugaidi yanazidi na uamuzi huu umetokea baada ya ugaidi wa Kenya?
 
Hakuna mtu anayejali kuhusu Afrika mkuu

Heck hakuna mwa afrika anayejali kuhusu afrika.Tumejipa majina ya kizungu na ya kiarabu.Tumeazima tamaduni zao.Tunatumia lugha yao

Sasa kama sisi hatujijali unadhani mgeni atajali?
 
Kwani hii idea ilikuwepo siku zote au ndio mara ya ya kwanza? Yawezekana ndio inatumika kwa mara ya kwanza kwa sababu yako mengiii yameshatokea huko ulaya na hajaweka hivyo.
 
Idea ndio kwanza imeanza kutumika. Haiku wahi kutumika kwenye tuko lolote nyuma. Mawazo ni ya ki inferiority complex.
Lakini pia sisi kama wa Africa tu we na umoja wetu na tu buni vitu vyetu.
Wenyewe Facebook ni yao na wataitumia kwa maslahi yao sikuzote.
Sawa na siku mafuriko yakitokea Rufiji Tanzania na mengine yakitokea North Dakota USA,unadhani CNN wataonesha picha za wapi?
Kwa hili Umewaonea.
 
Na nyie si mfungue facebuk yenu kama imewauma sana.
 
tatizo la waafrica ni viongozi wabovu tuna watu wanaweza kuanzisha mitandao ya kuunganisha waafrica lakini serekali za africa watazifunga kama zinasema maovu yao, sijaona kiongozi wa africa mwenye ndoto za kuwajenga wanachi wake ili waweze kupambana ktk ulimwengu, wala hawana ndoto za kujenga mataifa yao yawe makubwa kiuchumi,kisiasa na kijamii, wao ni kuiba na wanafurahi kuona watu wao wakiwa maskini, ili waendelee kuiba na kuwafanya watumwa

Huko ulaya ndiko kuliko na viongozi wabovu kuliko Africa. Wewe fikiria Michele Obama na watoto wa obama wanavyotumia mali ya nchi yao watakavyo. wakienda nje wanavyonyenyekewa huwezi kuamini. Mke na watoto wa kiongozi wa afrika wakifaya hivyo utasikia BBC na CNN wanavyoandika.
C
 
Back
Top Bottom