Facebook wamefeli kuhusu tukio la Ufaransa

Facebook wamefeli kuhusu tukio la Ufaransa

Mbona uchaguzi wa juzi Tanzania waliweka hiyo Icon
 
tatizo la waafrica ni viongozi wabovu tuna watu wanaweza kuanzisha mitandao ya kuunganisha waafrica lakini serekali za africa watazifunga kama zinasema maovu yao, sijaona kiongozi wa africa mwenye ndoto za kuwajenga wanachi wake ili waweze kupambana ktk ulimwengu, wala hawana ndoto za kujenga mataifa yao yawe makubwa kiuchumi,kisiasa na kijamii, wao ni kuiba na wanafurahi kuona watu wao wakiwa maskini, ili waendelee kuiba na kuwafanya watumwa

Si hakika kama umekosea
 
Huko ulaya ndiko kuliko na viongozi wabovu kuliko Africa. Wewe fikiria Michele Obama na watoto wa obama wanavyotumia mali ya nchi yao watakavyo. wakienda nje wanavyonyenyekewa huwezi kuamini. Mke na watoto wa kiongozi wa afrika wakifaya hivyo utasikia BBC na CNN wanavyoandika.
C

Kama wabovu iweje muwaombe msaada?
 
Hahaha unadhani wanakujali ndugu yangu?
Nawashangaa akina mimi mie wanaodai kupeleka malalamiko ya kushindwa kwa mabalozi wa Ulaya kila leo wanapiga hodi kwenye ofisi za jumuia ya ulaya ,wakidhani hao ndio watatatua matatizo yetu,wakitoka tu maofisini huku nyuma wanang'ong'wa.
 
ndorooobo...wewe inawezekana hats JF ulimtafuta jirani yako akuunganishe... mpaka sasa hivi hujui hata ABC ya Facebook???
unataka kuniambia kuwa na facebook maisha yanakuwa yamekamilika
 
ule mtandao ni mzuri sana tu sema kwenye kenge na mamba wapo mbona humu kumevamiwa
presha presha, huwa nikiona post za jirani zangu kwenye hio kitu - umbeya unakuwa mwingi sana kuliko mambo ya msingi
 
Nilikuwa na sababu kadhaa za kufuta account yangu ya fb na hii nyingine.Africa is for African,Facebook is for ???.Confirmed I am going to delete it.
 
tatizo la waafrica ni viongozi wabovu tuna watu wanaweza kuanzisha mitandao ya kuunganisha waafrica lakini serekali za africa watazifunga kama zinasema maovu yao, sijaona kiongozi wa africa mwenye ndoto za kuwajenga wanachi wake ili waweze kupambana ktk ulimwengu, wala hawana ndoto za kujenga mataifa yao yawe makubwa kiuchumi,kisiasa na kijamii, wao ni kuiba na wanafurahi kuona watu wao wakiwa maskini, ili waendelee kuiba na kuwafanya watumwa

Nimesoma hii comment nimeamua kutoendelea kupekuwa mjadala, umemaliza kila kitu
 
Jamii forum inatosha hizo zingine ni kehelehele chako tu...!
 
Unanitonesha mkuu, wengine tunaonekana wa kuja kutofahamu hio kitu aisee

Kinachonisikitisha ni kuwa hao vijana wa fb wengi wamevamia humu pamoja na vitabia vya kigeni kiasi cha kuwafukuzilia mbali watu makini wa jukwaa hili!
 
Kinachonisikitisha ni kuwa hao vijana wa fb wengi wamevamia humu pamoja na vitabia vya kigeni kiasi cha kuwafukuzilia mbali watu makini wa jukwaa hili!

Upo sahihi kabisa, mleta mada anajaribu kutuonyesha ni kwa vipi tulivyotumbukia kwenye kasumba bado tunachekwa, and huwa najaribu kuchungulia fb ya jirani yangu - huoni sioni cha maana zaidi ya umbeya.
 
Back
Top Bottom