Waafrika wapi "Wanaounga mkono Wazungu au Waarabu"??
Wamebuni mbinu za kuiba kura na kujitangazia matokeo ya uongo. Nchi ya Walaghai kamwe haitaendeleo.Kwahiyo unatakaje, wao wamekaa darasani na kubuni facebook, kwenu Tanzania mmebuni nini cha maana
Chipsi mayai!Kwahiyo unatakaje, wao wamekaa darasani na kubuni facebook, kwenu Tanzania mmebuni nini cha maana
anaitwa #Mark Zuckerberg# hata Facebook Ana account kule,unashindwaje kumdirect huyo then unaleta umbeya jamii????
you are right sirni mali yao na watafanya chochote watakachotaka huwezi kuwazuia
Africa tufungue ya kwetu na sisi ya kutu connect waafrica
Hata mimi nimeshangazwa na outcry hii, wakati juzi kati Ndege yaUrusi ililipuliwa na watu zzaidi ya 200 ndani hatukuona maombolezo ya Facebook!