Bepari la Kinyambo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 1,223
- 1,523
Mkono wa baunsa
Unataka kuliwa?Mkono wa baunsa
Mimii Mwanadamu mwenye uume unaofanya kazi nzuri ila sio Askofu.Wewe ni Yule mama waziri ?
Sio hvoMfano ukitaka kumuuliza mtu unauliza hivi "akaunti yako ya meta unatumia jina gani" imekaa kimangi yani haina hata swaga
Webadili jina la kampuni nyuma ya brand ya Facebook sio Facebook name kama brand.
Yaani mfano wake ni kama Bonite bottlers wabadili jina lao ila product zao yaani Coca-cola, Kilimanjaro water, fanta,stone tangawizi etc zibakie the same name.
Masikini hata hujui unachoongea.Jina baya Facebook ilikuwa more better
Mfano ukitaka kumuuliza mtu unauliza hivi "akaunti yako ya meta unatumia jina gani" imekaa kimangi yani haina hata swaga