Kwani imekuaje tafadhali kilichojili
elezea...
ilikuwaje akaijaza hiyo mimavi chumbani kwake
Dooooooo...!!! Mmmh mchizi sasa ana demu au mchumba maana nawaza Game alikuwa anspigia wapi. !! Aiseee au ana majini huyo mjamaaaaa...
Dooooooo...!!! Mmmh mchizi sasa ana demu au mchumba maana nawaza Game alikuwa anspigia wapi. !! Aiseee au ana majini huyo mjamaaaaa...
Ni baada ya chumba chake kuanza kufuka moshi na kutoa harufu kali na ya ajabu ndio mama mwenye nyumba akaamua kumgongea
Mwanzoni jamaa alikataa kufungua lakini mama alipokomaa na kutishia kuita polisi ndio akafungua na hicho ndicho kilichokutwa chumbani mwake
Kwa mujibu wa wapangaji wenzake alikataa kushiriki kazi za usafi was choo hivyo wakamzuia kutumia choo yeye akaona poa tu kumbe alikuwa na plan B