Sasa kama hataki ushirikiano na wapangaji wenzie angejenga nyumba yake au aende sayari nyingine maana hii haimfaiKwa mujibu wa wapangaji wenzake alikataa kushiriki kazi za usafi was choo hivyo wakamzuia kutumia choo yeye akaona poa tu kumbe alikuwa na plan B
Huyu jamaa amenishangaza sana, ila matatizo Haya na mengineyo yatakuwa mengi sana Kwa walimu, wamechoka....
Sio kweli kabanga. Yaani mtu ukichoka na hali ya maisha unanyea na kukojoa chumbani mwako? Hayo ndiio aliyoyafanya mwalimu Gaudensia wa kibasila.
huyo mwalimu ni wajinsia ya kike wakuu....