Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,556
- 860,707
- Thread starter
- #61
katika hali ya kawaida anaitaj msaada kwa kweli atakuwa ana majini mabaya
Dunia inaumwa! Binadamu ni wagonjwa na kila mtu ni chizi tunatofautiana tu viwango
Hivi una habari hata kukesha mtandaoni wakati ni muda wa kulala ni aina mojawapo ya uchizi?