HUGO CHAVES
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 2,045
- 547
nape amepwaya katika nafasi yake hiyo yeye binafsi analizungumziaje hilo ,na kuwajibika haitoshi kwanini asitumie nafasi hiyo kuwaomba radhi wana ccm kwa yote aliyofanya ama kwa kuelekezwa au kujituma