Exclusive Interview! Motion: New relationship over the Old Ones!

Exclusive Interview! Motion: New relationship over the Old Ones!

Kiukweli hadi nimefika mwisho cjajua nia yako maana sijapata jibu la heading yako ni km vile unachunguza kitu ila nimeinjoy asante

mbona mengi umeyaongea humu ndani? na jibu limekuja moja kwa moja, kwa sisi wachambuzi wa mambo tupeta mengi kutoka kwako.
Asante. Ila challenges mmezitaja sana tu, na hongera kwa kuwa imara.

Ni mjadala wa kawaida tu hakuna kinachochunguzwa mkuu.
 
mbona mengi umeyaongea humu ndani? na jibu limekuja moja kwa moja, kwa sisi wachambuzi wa mambo tupeta mengi kutoka kwako.
Asante. Ila challenges mmezitaja sana tu, na hongera kwa kuwa imara.

Ni mjadala wa kawaida tu hakuna kinachochunguzwa mkuu.

Poapoa shukrani
 
Nimefuatilia mjadala mwanzo mwisho,.

Nimejifunza mengi kutoka kwa wachangiaji,.

Hongera uran kwa kuendesha mjadala vizuri!!
 
Last edited by a moderator:
Niligungua ana mwanamke mwingine tukiwa bado kwenye mahusiano na alizaa nae na mara nyingine analala kwake na mipango ya arusi walikuwa wanafanya nikaona isiwe tabu ngoja nitambae niendelee na maisha yangu.iliuma sana but hadeserve my tears hata kidogo.wanaume saa nyingine ni viatu sana nilimpenda wakti hana kitu hana mbele wala nyuma hata kazi aalikuwa hana elimu hana.niliridhika nae,akaja dar akawa mjanja kapata kazi maendeleo kidogo kaniona sifai.lol bad experience

Nyie wanawake kwanini huwa mnadhani wanaume tu ndo wanachangia mahusiano kuvunjika bla kujichunguza kwanza wenyewe?
Je ka aliona hujui kupika, unanuka k au mdomo, unatoka vitu vyeupe kunako k je?, huthamini ndugu zake nk.
Yani mnataka kuolewa tu wakati mmebweteka na hata kuosha miguu mpaka kwa wauza urembo!

Kwanini huwa mnatusingizia?
 
Kitu ambacho kiukweli nakumbuka kwa huyu jamaa ni kweli alikuwa mstaarabu na aliniheshim na kuheshim mahusiano yetu...
Kwa miaka miwili nliyokuwa nae sikumbuki kama tuliwah kugombana na hakuwah kunionyesha dalili ya usaliti japo nlimbania papuchi
Yeah huwa namkumbuka sometimes kwa mazuri yake.
Ila hatukuwahi kuonana tena baada ya kuachana rasmi japo tulikubaliana kubakia kuwa marafiki.


Kuna thredi humu mwanamke analalamika mpenzi wake sio mkali ni mstaarabu hata akiona anapigiwa simu.

Kweli wanawake tunapaswa kuishi nao kwa akili sana.
 
Nyie wanawake kwanini huwa mnadhani wanaume tu ndo wanachangia mahusiano kuvunjika bla kujichunguza kwanza wenyewe?
Je ka aliona hujui kupika, unanuka k au mdomo, unatoka vitu vyeupe kunako k je?, huthamini ndugu zake nk.
Yani mnataka kuolewa tu wakati mmebweteka na hata kuosha miguu mpaka kwa wauza urembo!

Kwanini huwa mnatusingizia?

dah umeniumiza kwa maneno yako acha kabisa ila kwa taarifa yako hakuna mtu msafi ka mm sijisifii ila ndo ukweli huo sikuwahi kumwambia anioe ndoa hutokea automatical na ni mipango ya mungu pia pamoja na hayo sijapungukiwa chochote niko super na juu kuliko alivyodhania nitakuwa.
afu sijamsema kwa ubaya namuheshim sana pamoja na hali alokuwa nayo
 
Interview ni nzuri sana... Nimejifunza kitu kutoka kwa Nambe hasa katika hii kauli " Akishaitwa ex..inamaanisha
anabelong kwenye past yako na
wewe kwenye past yake.
Kuna watu wapya ambao wako
kwenye present yetu ili
tusiumizane ni vizuri past ikabaki
kuwa past" ..... Safi sana na Mungu aendelee kuisimamia ndoa yako!

Hongera sana mkuu uran kwa interview nzuri... Hongera pia shansarie
 
Last edited by a moderator:
Interview ni nzuri sana... Nimejifunza kitu kutoka kwa Nambe hasa katika hii kauli " Akishaitwa ex..inamaanisha
anabelong kwenye past yako na
wewe kwenye past yake.
Kuna watu wapya ambao wako
kwenye present yetu ili
tusiumizane ni vizuri past ikabaki
kuwa past" ..... Safi sana na Mungu aendelee kuisimamia ndoa yako!

Hongera sana mkuu uran kwa interview nzuri... Hongera pia shansarie

Santee
 
Last edited by a moderator:
Kuna thredi humu mwanamke analalamika mpenzi wake sio mkali ni mstaarabu hata akiona anapigiwa simu.

Kweli wanawake tunapaswa kuishi nao kwa akili sana.

Kwani mtu akipigiwa simu ni kosa au sababu ya kumfanya mpenzi wake awe mkali....
Sijajua huyo dada alikuwa ana maana gani kusema hivyo ila nilichosema alikuwa mstaarabu na mwelewa.
Sikuwahi kumdharau au kuona hilo kama pungufu kwake infact tulidumu kwa kipindi tulichodumu kwa sababu ya hiyo.
Inawezekana huyo mwenzangu kabila lake ni lile la usipopewa kipondo unaona hupendwi...au past relation yake ilikuwa hivyo iliyojawa na wivu na kufuatiliana hovyo hovyo....
 
Interview ni nzuri sana... Nimejifunza kitu kutoka kwa Nambe hasa katika hii kauli " Akishaitwa ex..inamaanisha
anabelong kwenye past yako na
wewe kwenye past yake.
Kuna watu wapya ambao wako
kwenye present yetu ili
tusiumizane ni vizuri past ikabaki
kuwa past" ..... Safi sana na Mungu aendelee kuisimamia ndoa yako!

Hongera sana mkuu uran kwa interview nzuri... Hongera pia shansarie

Asante sana mkuu charming lady....
 
Last edited by a moderator:
Nimeinjoi intaviu japo ililetwa mida mibaya...
Swali lakizushi kwa shansarie na Nambe;
Je, mliweza kuwaeleza wapenzi/waume zenu idadi ya bf's mliowahi kudate nao...? Kama jibu ndio, walijisikiaje?
 
Last edited by a moderator:
Nimeinjoi intaviu japo ililetwa mida mibaya...
Swali lakizushi kwa shansarie na Nambe;
Je, mliweza kuwaeleza wapenzi/waume zenu idadi ya bf's mliowahi kudate nao...? Kama jibu ndio, walijisikiaje?

Mkuu Eli79 naamini ukifuatilia uzi huu mwanzo mpaka mwisho utapata jibu la swali hilo
Hata hivyo kutii haja za swali lako ni kwamba nilipokutana na mwenzi mpya hakutaka kujua past yangu aliniambia hajali nilikuwa na nani anajali sasa niko nae yeye...yatakayojiri tukiwa pamoja ndiyo yanayotuhusu...
 
Last edited by a moderator:
Nimeinjoi intaviu japo ililetwa mida mibaya...
Swali lakizushi kwa shansarie na Nambe;
Je, mliweza kuwaeleza wapenzi/waume zenu idadi ya bf's mliowahi kudate nao...? Kama jibu ndio, walijisikiaje?

Wote tulielezana yetu machache ya nyuma likiwemo hilo hatuitaji kuchimbua zaidi kwakua tumependana past is past tunasonga mbele na yetu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom