shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,370
ohoo.. nashukuru kwa kujibu vizuri!
hope mahusiano yako ya kwanza yamekufunza mengi, ndiyo maana haya ya sasa upo imara..
Ya yamenifunza sana na niko imara kama chuma
ohoo.. nashukuru kwa kujibu vizuri!
hope mahusiano yako ya kwanza yamekufunza mengi, ndiyo maana haya ya sasa upo imara..
Okay! na safi.
but do know just a little bit about the past relationship ya mpenzi wako wa sasa?
alishakuwambia?
"kwa faida ya kila mtu." unamaanisha nini?
Kwa faida yako binafsi na mpenzi wako mpya
Na yake na mpenzi wake mpya..
Akishaitwa ex..inamaanisha anabelong kwenye past yako na wewe kwenye past yake.
Kuna watu wapya ambao wako kwenye present yetu ili tusiumizane ni vizuri past ikabaki kuwa past.
Nambe na Shansarie nimewakubali, ila uran ulipaswa kuleta huu uzi mapema bhana.
Mapenzi yangekuwa elimu kuna watu wangepewa PhD za hivi hivi. Mi nahisi nina crrtificate tu
Nambe na Shansarie nimewakubali, ila uran ulipaswa kuleta huu uzi mapema bhana.
Asante mkuu Mtoto halali na hela.
Nimependa jina lako
Bado zamu yako na wewe
Poa na ni vizuri sana kufanya hivyo.
Nakushukuru kwa kubali kushiriki katika mjadala.
Ubarikiwe sana.