Exclusive Interview! Motion: New relationship over the Old Ones!

Exclusive Interview! Motion: New relationship over the Old Ones!

Ilikuwa hivi...mimi nilipata shule nikaenda zangu A level pale pale mkoani kwetu...ilikuwa boarding...alinisindikiza mpaka shule...
Baada ya hapo nikawa nawasiliana nae kwa simu za friends mara moja moja....
Baada ya muda yeye aliondoka akaenda shinyanga mi nkiwa arusha...
Tukawa tunawasiliana kwa tabu sana matokeo yake mawasiliano yakapotea kabisa...
Namba yake ikawa haipatikani.....
Nikaamua kuconclude kuwa its over...
Haikunitesa sana coz nilikuwa najua it has to be that way kwani sikuwa na future nae.....
Nilipomaliza form six nikiwa nimeshasahau kabisa habari zake akaja home na kuomba tuendelee ila sikumpa hiyo nafasi

Ulikuwa ushapata mwingine?
 
mliachanaje? tuambie kidogo.

Niligungua ana mwanamke mwingine tukiwa bado kwenye mahusiano na alizaa nae na mara nyingine analala kwake na mipango ya arusi walikuwa wanafanya nikaona isiwe tabu ngoja nitambae niendelee na maisha yangu.iliuma sana but hadeserve my tears hata kidogo.wanaume saa nyingine ni viatu sana nilimpenda wakti hana kitu hana mbele wala nyuma hata kazi aalikuwa hana elimu hana.niliridhika nae,akaja dar akawa mjanja kapata kazi maendeleo kidogo kaniona sifai.lol bad experience
 
Niligungua ana mwanamke mwingine tukiwa bado kwenye mahusiano na alizaa nae na mara nyingine analala kwake na mipango ya arusi walikuwa wanafanya nikaona isiwe tabu ngoja nitambae niendelee na maisha yangu.iliuma sana but hadeserve my tears hata kidogo.wanaume saa nyingine ni viatu sana nilimpenda wakti hana kitu hana mbele wala nyuma hata kazi aalikuwa hana elimu hana.niliridhika nae,akaja dar akawa mjanja kapata kazi maendeleo kidogo kaniona sifai.lol bad experience

pole sana! so kwa sasa nikikwambia umkumbuke kwa walau mawili tu? mliyoyafanya pamoja au uliomfanyia au aliyokufanyia unaweza? ni yapi.
 
Yeah kulikuwa na wawili watatu wananipigia kasia na I was about to accept one of them.

so what then? ulimkubali mmoja au ulitaka kumkubali mmoja?
 
pole sana! so kwa sasa nikikwambia umkumbuke kwa walau mawili tu? mliyoyafanya pamoja au uliomfanyia au aliyokufanyia unaweza? ni yapi.

Yah alikuwa na mazuri yake alinijali kiasi kimawazo alikuwa very open kunieleza hw life is.alinisikiliza ni mwepesi kusamehe.but kosa lake limenifanya nione hayo yote yalikuwa ni unafki tu.
 
Yah alikuwa na mazuri yake alinijali kiasi kimawazo alikuwa very open kunieleza hw life is.alinisikiliza ni mwepesi kusamehe.but kosa lake limenifanya nione hayo yote yalikuwa ni unafki tu.

dah! kweli mnafiki..
so kuna madhara yoyote uliyoyapata mlivyoachana?
 
dah! kweli mnafiki..
so kuna madhara yoyote uliyoyapata mlivyoachana?

Aisee nilikuwa preg tayari so ilibidi nilee mwenyewe japo haikuwa ngumu sababu nilikuwa na kazi na home walinielewa kiasi but niliweza kumudu.
 
Hahahaa huyu alianza kumega mapema tu kabla ya ndoa...

ha ha ha ha! sawa, we unajua kitu inayoitwa secondary virgin? jamaa aliikuta?
 
Aisee nilikuwa preg tayari so ilibidi nilee mwenyewe japo haikuwa ngumu sababu nilikuwa na kazi na home walinielewa kiasi but niliweza kumudu.

kamanda (mama yako) alipokeaje?
 
kamanda (mama yako) alipokeaje?

We acha tu alikuwa mpole maana nilimwambia sistet angu ndo akamwambia kamanda.aliniuliza taratibu nakutaka kumjua jamaa nikamwambia na walifahamiana.
 
ha ha ha ha! sawa, we unajua kitu inayoitwa secondary virgin? jamaa aliikuta?

Kwa kweli siijui....
Ila kabla ya kuwa nilimwambia wazi niliwahi kuwa na relation na pia mie sio bikra..
Aliniambia na yeye ana past yake pia hivyo tusahau tuanze upya hatoniuliza chochote cha nyuma na mie nisimuulize ila tu iwapo itaonekana hiyo past inaingilia mahusiano yetu.
 
We acha tu alikuwa mpole maana nilimwambia sistet angu ndo akamwambia kamanda.aliniuliza taratibu nakutaka kumjua jamaa nikamwambia na walifahamiana.

poa poa..so nini tofauti ya mahusiano yako ya nyuma na ya sasa? je, kuna mambo ambayo unayakumbuka zaidi.
compare to ur new one.
anza na mwonekano wa wote wawili,
uwezo wao kifedha,
na kwenye sex..naamini kuna aliyemzidi mwenzie..
 
Kwa kweli siijui....
Ila kabla ya kuwa nilimwambia wazi niliwahi kuwa na relation na pia mie sio bikra..
Aliniambia na yeye ana past yake pia hivyo tusahau tuanze upya hatoniuliza chochote cha nyuma na mie nisimuulize ila tu iwapo itaonekana hiyo past inaingilia mahusiano yetu.

Safi sana! mliamua vyema sana..
few questions..
ni nini unachoweza kukumbuka kwa boy wako wa kwanza compare na huyu aliyekuoa.
afu wa kwanza umemsifia sana ujue..
umesema alikuwa mtaratibu sana! hali kama hii huwa haifanyi umkumbuke?
 
poa poa..so nini tofauti ya mahusiano yako ya nyuma na ya sasa? je, kuna mambo ambayo unayakumbuka zaidi.
compare to ur new one.
anza na mwonekano wa wote wawili,
uwezo wao kifedha,
na kwenye sex..naamini kuna aliyemzidi mwenzie..

Mmh naweza kusema am happy with present relationship kwani hiyo ya past pamoja na kumwamini bado nilikuwa na mashaka nae but huyu sina nashaka nae japo si mda mrefu sana tangu niwe nae bt i trust him than ex. Sex sitaki kuizungumzia sana but alikuwa na kaubinafsi kakujiridhisha mwenyewe ht ukimwambia anapuuzia mara chache anasikiliza bt huyu tunaelewana he is the best.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom