Wana MMU! Sasa niwakaribishe kama na nyie mnanyongeza kwenye hii mada mutoe.
Heaven on Earth, Mentor, DEMBA, farkhina, Excel, mwallu, charminglady, Jerrymsigwa, Jawilat, white girl na wengine karibu kama mnalakuongezea...uwanja ni wenu sasa
mkuu uran,
naomba binafsi niongezee kidogo japo umesema tukae pembeni!
wahenga wanasema, old is gold.
king'asti wangu wa kwanza niliyempata enzi zile katika foolish age kwa kweli alikuwa soo mwaaaah!!!
kwa kweli sijawahi kutana tena na binti kama yule, labda ije kuwa incident! nilipendwa sana, mtoto hajawahi niomba pesa, kifupi hajawahi nichuna!! mpaka nilikuwa najishtukia najichuna mwenyewe kwa zawadi ndogo ndogo!!
sasa la sasa!! majanga! nahisi utandawazi umekuja kuharibu mapenzi! mabinti wanataka maisha kama ya akina beyonce na rihanna! nani atayaweza? mmmh!
i miss my cinderella!
ok ok! nimekuelewa kwa uzuri sana, sasa mkuu we j.pili au j.mosi jioni huwa una time? wan' to interview u
Hahaha...yaani kutoa ushauri tu ndio wanigeuzia kibao.
Mkuu samahani, kwa ufupi huwa sina muda free wa masaa mengi kama ambavyo intavyuu zako zachukua...
Serious ni hii nilonayo sasa naamini hiyo japo bado siishi nae but he loves me and i believe him.nilianzaje nae sitakwambia pia ila alinitongoza kama wengine wanavyotongozwa nikampa nafasi hiyio
nani mwingine honey wangu? mbona kicheko cha kunisanif lolhapa ulikuwa unanisema mimi? teh teh teh...
nani mwingine honey wangu? mbona kicheko cha kunisanif lol
love u so muchbaby!!! mi wakukukashifu wewe?
"never on earth"...
nipe buku kumi, nikupeleke aliko.