Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
- Thread starter
- #41
Kuhani, kufurahi watu walipaswa.. hata kama mtanashindwa kwenye mechi kama goli mlifunga kwanza mnalishangilia..! Hamuwezi kuacha kushangilia bao ati kwa vile mechi haijaisha. So, we have to have the so called "cautious optimisim..." la maana ni kuendelea kushambulia wakati huo huo kulilinda bao letu.. yawezekana ndilo pekee la ushindi!