UKIMUUMIZA NI UNAPANDA MBEGU NA UTAIVUNA , UNAFURAHI X WAKO KUTAABIKA?
Kwanza mkuu niseme ulikuwa humpendi huyo binti, ulitaka umfaidi tu. yamkini hata yeye alikupima kama unampenda kweli, kutoka moyoni, wana akili hao! ukiongeza na darsa ndo kabisaa! heee!
but in real fact hakuolewa. kama angeolewa kweli, asingesema negativeness to her marriage, kukutamkia wazi kirahisi ivo eti nioe, wakati anajua wazi utamdhihaki, na kukataa kuhusu hilo.
Pia mke wapili hawezi kuolewa kwenye ndoa changa hivo, tena bila watoto,(angalia hapa; Siyo mtoto watoto} second marriage comes too late. while one of you is matured enough.
Kama kweli angeolewa na kupata mapito magumu. Hence that she wanna win you back angezuga tu kukutembelea tena amejipodoa kupitiliza udhaifu anaoujua kwako na kujinenepesha vitako vya kutamanisha kidume chochote, na kujipitisha hata kwa rafiki zako, ambao wangekuletea habari za masifa, za kulipua moyo.
Lkn pia asingekupa penzi mara moja, angezuga kama hataki, mpaka wewe ung'ang'anie sana. asingeongea negative to her current husband. never ever.
kubali tu kwamba Psychology capacity yake ni kubwa kukupita.wengine hufanya ili umkatae wewe kwa kumtamkia na umdharau, ivo basi umtoe moyoni mwako, usijemchafulia kibarua ulicho mtafutia.
Binti huyo yuko sawa, alitaka kuingia njia isiyo sahihi, wewe ulikuwa muongo inawezekana hata wewe ungemtosa huko mbele ya safari, na alijua mapema kuwa wewe siyo mwake, ndo kakuzuga FB kuwa anaolewa, na wewe ukaiamini FB ukajaa bila kuhoji, akajua yametimia.
Naamini siyo mzuri kabisa, kwa namna navo wajua wazuri wasomi wa chuo ambao wako kwenye hatua za kutafuta kazi bado ni wabichi, utazimia! kama siyo domo zege. Kwanza ni watoto wakike wanao chipukia kiumri, na Oestrogen level ziko at the peak.kiiila mtu mume anataka. hawatangitangi, muda wa kutangatanga na mihasira kwenye 40 na kuendelea.
UMETUNGA TU HII.