Liverpool_Jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,220
- 1,417
- Thread starter
- #161
Max AMEKUSIKIA..Hivi huku jamiiformums hakuna option ya ku rejammiiforums kama tunavyo retweet kule twitter story yako ina somo ndani yake
Max AMEKUSIKIA..Hivi huku jamiiformums hakuna option ya ku rejammiiforums kama tunavyo retweet kule twitter story yako ina somo ndani yake
Sasa hivi MKE wa MTU na Mimi MKE WA MTU SILAGI..Hamjakumbushia???mlivokutana
[emoji3][emoji3] short and clearMajib mafupifupi tu [emoji3]
Ndio mkuu aliyataka mwenyeweMzee unampa makavu live live [emoji23]
Sitaki hata kumsikiaAnajiletaa umlee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Punguza ukauzu mkuu [emoji23][emoji23]Muoneni huyu nae, kipindi nimemaliza kidato cha 6 nikaenda jkt kurudi mabaharia wamempa mimba sijakaa sawa akaolewa, sijui nini kimetokea huko amerudi analia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1240640
Mkuu hata yeye alinifanyia ukauzuPunguza ukauzu mkuu [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hivi upepo wa Ma-ex kurudi ni mkali mno. Huyu alinipotezea tangu mwezi wa 1 mwaka huu alipopata kazi, nkajaribu mtafuta tafuta akawa hajibu sms wala hapokei simu japokama nlikuwa namuona kabisa online na status anaweka ila baada ya muda nikawa simuoni tena nkajua nshakula block. Sasa sijui kimemtokea nini yaani amerudi na sababu ya kitoto mpaka nimegundua kumbe nilikuwa nadate na kilaza namna hii[emoji1] na bado anajiamini kuniita Love kwa miezi yote hiyo alokuwa kanipotezea.
Polisi wanajua shikilia simu miezi 9 kwa upelelezi kudadekiView attachment 1240684
Yani huyu inatakiwa unamuita unamchakata alafu unakula tofali la maana hawezi kukuona kilaza namna hioSasa hivi upepo wa Ma-ex kurudi ni mkali mno. Huyu alinipotezea tangu mwezi wa 1 mwaka huu alipopata kazi, nkajaribu mtafuta tafuta akawa hajibu sms wala hapokei simu japokama nlikuwa namuona kabisa online na status anaweka ila baada ya muda nikawa simuoni tena nkajua nshakula block. Sasa sijui kimemtokea nini yaani amerudi na sababu ya kitoto mpaka nimegundua kumbe nilikuwa nadate na kilaza namna hii[emoji1] na bado anajiamini kuniita Love kwa miezi yote hiyo alokuwa kanipotezea.
Polisi wanajua shikilia simu miezi 9 kwa upelelezi kudadekiView attachment 1240684
Mambo ya Hangout [emoji14][emoji14][emoji14]Sasa hivi upepo wa Ma-ex kurudi ni mkali mno. Huyu alinipotezea tangu mwezi wa 1 mwaka huu alipopata kazi, nkajaribu mtafuta tafuta akawa hajibu sms wala hapokei simu japokama nlikuwa namuona kabisa online na status anaweka ila baada ya muda nikawa simuoni tena nkajua nshakula block. Sasa sijui kimemtokea nini yaani amerudi na sababu ya kitoto mpaka nimegundua kumbe nilikuwa nadate na kilaza namna hii[emoji1] na bado anajiamini kuniita Love kwa miezi yote hiyo alokuwa kanipotezea.
Polisi wanajua shikilia simu miezi 9 kwa upelelezi kudadekiView attachment 1240684
Nashangaa hiyo miezi 9 yote amekaa bila simu eti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiseee hii nomaa kwamba hata namba zako alikuwa hazijui???
Sijui hizo sms aliandika akiwa kalewa....maana hata ukizisoma.mara tatu tatu unajiuliza alikuwa anamaanisha nini[emoji1][emoji1][emoji1]Yani huyu inatakiwa unamuita unamchakata alafu unakula tofali la maana hawezi kukuona kilaza namna hio
Atufanyie mpango kwa kweli aweke haka ka option kawepoMax AMEKUSIKIA..
Umezungumza mambo ya msingi sana [emoji122] [emoji122] [emoji122] .Wanawake ni viumbe wenye upofu wa MAONO(japo najua watachukia lakini ndio ukweli)
Siku zote wanafanya maamuzi pasipo kuvisualize possible impacts za maamuzi hayo, wanachoangalia wao ni jinsi gani maamuzi hayo yanawafurahisha kwa wakati huo.
They always live in present continuing situations, once that temporary pleasure fades away, they start to regret.
Lakini tuishi nao hivyo hivyo tu tutafanyaje sasa wakati ndio walivyo na bado tunawahitaji.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] dadekiiiSasa hivi upepo wa Ma-ex kurudi ni mkali mno. Huyu alinipotezea tangu mwezi wa 1 mwaka huu alipopata kazi, nkajaribu mtafuta tafuta akawa hajibu sms wala hapokei simu japokama nlikuwa namuona kabisa online na status anaweka ila baada ya muda nikawa simuoni tena nkajua nshakula block. Sasa sijui kimemtokea nini yaani amerudi na sababu ya kitoto mpaka nimegundua kumbe nilikuwa nadate na kilaza namna hii[emoji1] na bado anajiamini kuniita Love kwa miezi yote hiyo alokuwa kanipotezea.
Polisi wanajua shikilia simu miezi 9 kwa upelelezi kudadekiView attachment 1240684
Wewe nae unajiuliza jibu? Unadhani tako lingekua bado lipo hii maada ungeiona hapa?
[emoji898][emoji898][emoji898]Hata mimi ningekuwa wewe ningefanya hivyohivyo, urafiki unaweza usife iwapo eye atasisitiza ila hautakuwa wa karibu na mapenzi ndo kabisaaa hayatakuwepo.
Matata K.
Safi sana mkuuIko hivi..
Mwaka 2013 nilimaliza Bachelor na kurudi Dar, nilikutana na mtoto mmoja MZURI HATARI..
Alionekana na STRESS kiasi na mzee baba nikajikaza na KUOMBA NAMBA.
Nilivyompeleleza baadae nikagundua ni STRESS ZA KUKOSA AJIRA.
Baada ya wiki kadhaa nikamtongoza na safari ya mapenzi IKAANZA HAPO.
Alikua anakuja sanaa GHETO mpaka nikamkabidhi FUNGUO, akawa anakuja MUDA WOWOTE ATAKAO mi nikiwa Job (niliajiriwa fasta sanaa baada tu ya kumaliza chuo)
Kwa malezi yangu niliyolelewa nikaona "KULALA NA MTOTO WA MTU NDANI BILA WAZAZI WAKE KUJUA ALIPO SIO POA""
Nikawaza nimletee wazo la NDOA, maana katika story zetu ALIKUA AKILIZUNGUMZIA SANAA "Mr. Liverpool UTANIOA LINI au ndio UNATANIT*MBA tuu?""
Ila kabla ya ndoa nikawaza nimtafutie ajira ili tuingie ndani ya ndoa tukiwa wote TUNAINGIZA KIPATO.
Nili HUSTLE sanaa KUTUMA APPLICATIONS kila ofisi NIKISIKIA hata TETESI NATUMA.
Mara MUNGU BARIKI akapata SERIKALINI.
Ikapita miezi 3 nikaona ndio WAKATI WA KULETE PROPOSAL YA NDOA.
Nilivyo iwakilisha mbele yake jibu alilonijibu ""MIMI SIWEZI KUOLEWA NA KAFIRI""
Aisee asikwambie mtu ""LILE JIBU LILINIUMA SANAA TENA SANAA""
Nilivyomwambia tuoane kila mtu abakie na dini yake (ilikua tarehe 01/May) Mara tarehe 20/May NAONA anapost FB picha za NDOA, tena na BAHARI waliokutana OFISINI kwenye KAZI NILIYOMTAFUTIA MIMI..!!!!
Dah yule Dada aliniuma sanaa... Yaani KUJITOA KOTE KULE LEO HAYA NDIO MALIPO YANGU. #KAFIRI
Time heals na nikasahau..
Mwaka huu mwezi wa 9..
Mara NAMBA NGENI IKAINGIA..
Kupokea KUMBE ni yeye.
Tuliongea mengi ila alileta PROPOSAL ANATAKA KURUDI KWA KAFIRI..!!
Kisa mumewe ameoa MKE WA PILI na yeye UKE WENZA HAUWEZI.
NILICHOMJIBU "PAMBANA NA HALI YAKO, MI SIWEZI KUFANYA HIVYO""
Yeye:- ""Basi hata uwe mchepuko wangu?""
Mimi:- ""Siwezi aisee kumzunguka mwana kwa nyuma japo yeye alinizunguka""
Juzi kati nikapata safari ya kwenda Dar, akaniomba tuonane...
Tukakutana mitaa ya uwanja wa ndege.
Aisee....
Amekonda
Tako loote LIMEYEYUKA
Shape yotee IMESEPA..
Yaani MPAKA NIMEMUONEA HURUMA.
Tuliongea sanaa na Nikamuomba kuondoka.
Aliendelea kuomba ila nilichomjibu "SIWEZI KUKUSAIDIA KWA LOLOTE""
JAPO NIMEMUONEA HURUMA sanaa ila "KILA MTU AVUNE ALICHOPANDA""
UKIPENDA PENDEKA MTOTO WA KIKE.
Wanaume TUTUMIE KICHWA KIKUBWA cha JUU, cha CHINI huwa KINATUDANGANYA SANAA.
#ASANTE
#YNWA