Mutha007
Senior Member
- May 27, 2018
- 166
- 345
this comment is underrated.Davy Jones
this comment is underrated.Davy Jones
Upo Tayari Kupasha kipoloNimerud jaman
Upo Tayari Kupasha kipolo
Pesa zangu jamani
Alizichukuaje mamy
basi haina maana kurudi kwako baki huko huko.😠😠Sitaki
ndio tulikua tunafanya biashara akapita nazo hivi,yaani nimedai hadi nimechoka mwenzio.Ila Mungu anamuona sidhan kama jasho langu litaenda bure.
Mm wa kwangu alisema anenda zanzibar alete sjui tv na redio yake wenyewe wanaitaje sijui mwaya nikaambiwa laki 8 nikaingia laini toka siku hiyo mpaka leo hapokei simu na zanzibar ikaishia hapoo ila nasema ipo siku yake yajaaa
Huyo Hassan kadoke kada wa fisiem Dodoma namlaani mpka kufaaaa
Hahaha wala sio wivu best.wivu huo
Doh kweli shoga angu huyu dude alikupiga kiujanja khaaa,pole mwaya atleast ungekua umeandikishiana nae ungemchukulia RB siku akiiingia line unampopoa hadi polisi.Shenzy zake kabsa huyu kada mpigaji.
Mm wa kwangu alisema anenda zanzibar alete sjui tv na redio yake wenyewe wanaitaje sijui mwaya nikaambiwa laki 8 nikaingia laini toka siku hiyo mpaka leo hapokei simu na zanzibar ikaishia hapoo ila nasema ipo siku yake yajaaa
Huyo Hassan kadoke kada wa fisiem Dodoma namlaani mpka kufaaaa
😂😂😂😂😂Achaaa tu namvizia siku hizi natembea na nyundo gar yake halal yang
Angalia visikio vyake kama sungura 😀😀😀Huyu huyu jaman kaka simpendi huyuu nakwambia kanitapeli mshweeenz jaman ooooh siku nikimkamata gar yake nitaiharibu mbayaaa sanaaaa
Achaaa tu namvizia siku hizi natembea na nyundo gar yake halal yang
Huyu huyu jaman kaka simpendi huyuu nakwambia kanitapeli mshweeenz jaman ooooh siku nikimkamata gar yake nitaiharibu mbayaaa sanaaaa