kichunafk
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 992
- 479
lazma utamjua tu kabla hajafikia hatua ya kukudai lazma kuna vya ajabu alivifanyaUtamjuaje mluga luga
Sent from my iPhone using JamiiForums
lazma utamjua tu kabla hajafikia hatua ya kukudai lazma kuna vya ajabu alivifanyaUtamjuaje mluga luga
Sent from my iPhone using JamiiForums
akikutisha nawe mtishe, mikwara iko mingi tu, mfano ya kumwambia utamshataki kwa mkewe au utaenda polisi. Polisi ni hela mbele so usiogope kisa anajuana naojamni sasa nafanyaje
Umefuata nini kwenye jukwaa la watoto
sina mtu yoyote ninae ishi nae n wala siwezi kumpata ni mtu mwenye kufahamiana na polis
amanifanya kuwa na moyo mgum kila mwanaume namuogopa kwani nahisi ata akinilipia soda atanidai
ndugu wana mmu naomba msaada kwani nimejaribu kutafuta kwa njia ya kawaida nimekosa msaada,tatizo ni ex wangu yapata mwezi na kitu tangu tumeachana anataka nimrudishie gharama zake pamoja na baadh ya vitu alivyoninunulia,kanitumia msg za vitisho ila kikubwa ni kwamba niligundua ana mke muda kidogo lakini kila nilipomwambia tuachane anasema nimrudishie kila kitu,tangu mwezi sasa nimefanya maamuzi magumu lakin ndo kama imekua mwiba kila saa sms na cm za kunitisha jana kaja kanigongea mlango nikakimbilia chooni maana taa ilikua inamulika hivyo hakuniona baadhi ya vitu alivyonipa kasoro kimoja ndo kina jina lake sasa nafanye kumbukeni kanitumia na kumbukeni ni mtu anaefahamiana na polisi sasa nafanyaje????
Kabila gani huyo!!
kama upo makini kweli na usumbufu wa namna hii, ni PM nikupatie namba ya mwanaharakati mama flani hapa mjini, ni mwanasheria na kajizatiti sana kukomoa wanaume wa aina hii
kesi hizi anazipenda maana anashinda buree,
ndugu wana mmu naomba msaada kwani nimejaribu kutafuta kwa njia ya kawaida nimekosa msaada,tatizo ni ex wangu yapata mwezi na kitu tangu tumeachana anataka nimrudishie gharama zake pamoja na baadh ya vitu alivyoninunulia,kanitumia msg za vitisho ila kikubwa ni kwamba niligundua ana mke muda kidogo lakini kila nilipomwambia tuachane anasema nimrudishie kila kitu,tangu mwezi sasa nimefanya maamuzi magumu lakin ndo kama imekua mwiba kila saa sms na cm za kunitisha jana kaja kanigongea mlango nikakimbilia chooni maana taa ilikua inamulika hivyo hakuniona baadhi ya vitu alivyonipa kasoro kimoja ndo kina jina lake sasa nafanye kumbukeni kanitumia na kumbukeni ni mtu anaefahamiana na polisi sasa nafanyaje????
sina mtu yoyote ninae ishi nae n wala siwezi kumpata ni mtu mwenye kufahamiana na polis
Atakuwa hana kabila huyo maana sijawahi kuona punguani wa namna hiyo.
Man wat u takn is da reality! maduu wanashoboka pasipo kujua maninaaa! kapewa vitu heavy ndo maana amekuja kuseek cheeep sympath hapa! alikubali kuvua nguo bila shuruti ili tukizi malengo yake! leo hii anaumia kuvikosa utazani alipay out kila kilichoko ndani mwake!
women they r just f*kn wanapenda sana vya kupewa, ila tukidai vyetu wanang'ang'ania kama walinunua wao!
wanawake jitambueni unless tutaendelea kuwachapa nao kila siku ma'ninaaaa.
Matola inategemea mkuu mademu wengine they r very troubleshooters aaaagrrrr! mshikaji pengine kajituma kichizi kumeet demand ya huyu demu. Then baada ya wiki2 demu anazingua hataki kupokea simu kutwa nzima, ukimwandikia sms kiukali fulani kuonesha msuri wa kiumme anaanza kureact negatively na kukuponda kisen.ge kwann usidai mali zako? M talking regarding to my own experience.
Demu nilimkuta form2, nikahudumia mpaka udsm bt end of the day akanitenda na kuleta mambo ya shobo. Agggrrr niliumiaje mkuu!