masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,827
- 16,911
- Thread starter
- #81
Maskini pole sana duh kweli dunia ina mambo
amanifanya kuwa na moyo mgum kila mwanaume namuogopa kwani nahisi ata akinilipia soda atanidai
Maskini pole sana duh kweli dunia ina mambo
vitu nilimwambia aje achukue tatizo ananiambia anataka pesa zake tangu alivyonijua na gharama za huduma yoyote aliyonifanya ndio maana nikaomba msaada
nawe mdai ulivyompa, hajui kwamba hakuwa anatoa bure hizo hela zake. Mbona hakuwapa wengine barabarani? Asikutishe, mjini hapa
nb: acha kudate na walugaluga
Unaikumbuka thread niliyoileta leo?
Inategemea alikupa nini na kwa makubaliano gani. Lakini ikiwa ni zawadi za kawaida hana haki ya kudai.
Hapana, ila maudhui yake ni yaleyale tujipe muda kabla ya kuoana, ila zile familia zinajuwana kitambo haina kwere.yeah naikumbuka......ina uhusiano na hii makitu
Ke ni wangese sana mamaakeku! ningemjua mshikaji, ilitakiwa nimsindikize tukadai vyetu.
Usimteteee huyu kiumbe hata kusi jamo coz always we suffer frm tearing tears then we got them then they use us and throw us away!
Aaaaaaaaaaaagrrrrrr let them ---- the way by simple means! Coz sisi ni wenyekiti wa genge! Akiinuka mwengine anakaaaaa just simply in dat way!
Hawa viumbe ni rahsi sana kuwamung'unya ila ukifanya uzembe utakuwa mtumwa!
Safi kabisa wazee wa type hiyo ndiyo tunaowataka mjiniamanifanya kuwa na moyo mgum kila mwanaume namuogopa kwani nahisi ata akinilipia soda atanidai
si nyingi lakini naeza ita nyingi kwani sina uwezo wa kuirudisha na pia hakuna makubaliano yoyote ya mimi kurudisha ni pesa za kawaida ambazo hata wewe kama una mpenzi una weza kumpa
Imagine huyu ndio dada yako tumbo moja au cousin wako bado ungekuja na mbwembwe na ushabiki wakijinga hivi?
wewe mdada wewe siulikuwa unatafuta miezi iliyo pit humu ndani kumbe ulimpata..?? Jamaa ulimpata humu au mtaa mwingine kabisa kama ni humu ujumbe umeshafika kaa na amani ni kinyume chake ni kwelindugu wana mmu naomba
msaada kwani nimejaribu kutafuta kwa njia ya kawaida nimekosa
msaada,tatizo ni ex wangu yapata mwezi na kitu tangu tumeachana anataka
nimrudishie gharama zake pamoja na baadh ya vitu
alivyoninunulia,kanitumia msg za vitisho ila kikubwa ni kwamba
niligundua ana mke muda kidogo lakini kila nilipomwambia tuachane
anasema nimrudishie kila kitu,tangu mwezi sasa nimefanya maamuzi magumu
lakin ndo kama imekua mwiba kila saa sms na cm za kunitisha jana kaja
kanigongea mlango nikakimbilia chooni maana taa ilikua inamulika hivyo
hakuniona baadhi ya vitu alivyonipa kasoro kimoja ndo kina jina lake
sasa nafanye kumbukeni kanitumia na kumbukeni ni mtu anaefahamiana na
polisi sasa nafanyaje????
Safi kabisa wazee wa type hiyo ndiyo tunaowataka mjini
Umefuata nini kwenye jukwaa la watotoKitu nilichogunduwa jukwaa hili sasa hivi limejaa watoto wa under 25, unajiona mjanja Anonymous kumbe unayemponda ni dada yako na hujui kwasababu id haiko verified.