sikua na makubaliano naye yoyoe nalia tu hata job nashindwa kufanya kazi
Inaelekea ulimtapeli kwahiyo wewe mrudishie tu mali zake.mimi mwenyewe ulinidanganya kwamba una dawa ya gout kumbe ulitaka kuniingiza choo cha kike.
ndugu wana mmu naomba msaada kwani nimejaribu kutafuta kwa njia ya kawaida nimekosa msaada,tatizo ni ex wangu yapata mwezi na kitu tangu tumeachana anataka nimrudishie gharama zake pamoja na baadh ya vitu alivyoninunulia,kanitumia msg za vitisho ila kikubwa ni kwamba niligundua ana mke muda kidogo lakini kila nilipomwambia tuachane anasema nimrudishie kila kitu,tangu mwezi sasa nimefanya maamuzi magumu lakin ndo kama imekua mwiba kila saa sms na cm za kunitisha jana kaja kanigongea mlango nikakimbilia chooni maana taa ilikua inamulika hivyo hakuniona baadhi ya vitu alivyonipa kasoro kimoja ndo kina jina lake sasa nafanye kumbukeni kanitumia na kumbukeni ni mtu anaefahamiana na polisi sasa nafanyaje????
Babu ulijitwika jukumu la bodi ya mikopo? pole sana wacha maisha yaendelee tuko kwenye generation ngumu sana mungu tu ndio anajuwa wakati mwingine unaweza kuona hata waarabu labda waliona mbali kuoana ndugu, yaani vilio vya usaliti vimepamba moto.Matola inategemea mkuu mademu wengine they r very troubleshooters aaaagrrrr! mshikaji pengine kajituma kichizi kumeet demand ya huyu demu. Then baada ya wiki2 demu anazingua hataki kupokea simu kutwa nzima, ukimwandikia sms kiukali fulani kuonesha msuri wa kiumme anaanza kureact negatively na kukuponda kisen.ge kwann usidai mali zako? M talking regarding to my own experience.
Demu nilimkuta form2, nikahudumia mpaka udsm bt end of the day akanitenda na kuleta mambo ya shobo. Agggrrr niliumiaje mkuu!
hilo ndo swali????lakini naogopa alichofanyiwa ufoo lakini swali linakuja yeye anataka pesa zake zote tangu ananijua hapo heaven on earh ingekuwa wewe ungefanyaje
Dada usijichoshe wala kupoteza muda wako kama hiki unachosema ni cha kweli na siyo hadithi za kutunga arrange nitakutana na wewe mtumie Maxence Melo au AshaDii watakuconnect na mimi huu usumbufu ndio utakuwa mwanzo na mwisho.
nadeclare mapema am not searching for woman.
sina mtu yoyote ninae ishi nae n wala siwezi kumpata ni mtu mwenye kufahamiana na polis
Dada usijichoshe wala kupoteza muda wako kama hiki unachosema ni cha kweli na siyo hadithi za kutunga arrange nitakutana na wewe mtumie Maxence Melo au AshaDii watakuconnect na mimi huu usumbufu ndio utakuwa mwanzo na mwisho.
nadeclare mapema am not searching for woman.
nawe mdai ulivyompa, hajui kwamba hakuwa anatoa bure hizo hela zake. Mbona hakuwapa wengine barabarani? Asikutishe, mjini hapa
nb: acha kudate na walugaluga
Kabla ya kutoa maoni naomba kukuuliza maswali yafuatayo.Nyumba unayoishi kwa sasa ni yako au yakwake.swali la pili .kama nyumba sio ya kwake hainahaja kuwa na wasiwasi maana hamkufunga ndoa cha msingi ni kuripoti polisi kuwa umetishiwa maisha maana hili ni kosa la jinai.PIa kama unaweza unaweza tafuta ndugu au marafiki wa kuishi nao hapo washirikishe wazazi .
mie nisingemrudishia hata sent 5......ningemwambie ye anilipe vyangu angeweza maana vingine havilipiki
hakuna cha kuku ufoo wala nini halafu kumbe ana mke kosa lake si angekua mkweli tangu mwanzoni
Mkuu hapana acha kupotosha kwa case study zisizofanana, UFoo saro na Mushi hao walikuwa wachumba wanataka kuoana, hii tunayijadiri hapa ni lisanii limoja linampotezea muda dada wa watu wakati ana mke hii siyo sawa kabisa na haikubaliki.
ndugu wana mmu naomba msaada kwani nimejaribu kutafuta kwa njia ya kawaida nimekosa msaada,tatizo ni ex wangu yapata mwezi na kitu tangu tumeachana anataka nimrudishie gharama zake pamoja na baadh ya vitu alivyoninunulia,kanitumia msg za vitisho ila kikubwa ni kwamba niligundua ana mke muda kidogo lakini kila nilipomwambia tuachane anasema nimrudishie kila kitu,tangu mwezi sasa nimefanya maamuzi magumu lakin ndo kama imekua mwiba kila saa sms na cm za kunitisha jana kaja kanigongea mlango nikakimbilia chooni maana taa ilikua inamulika hivyo hakuniona baadhi ya vitu alivyonipa kasoro kimoja ndo kina jina lake sasa nafanye kumbukeni kanitumia na kumbukeni ni mtu anaefahamiana na polisi sasa nafanyaje????
umefanya maamuzi mazuri sn so far hongera sn! anakutisha tu huyo ili umrudie, ila nidhahiri hata ye anaogopa km utamtishia km utamwabia mkewe.