ndugu wana mmu naomba msaada kwani nimejaribu kutafuta kwa njia ya kawaida nimekosa msaada,tatizo ni ex wangu yapata mwezi na kitu tangu tumeachana anataka nimrudishie gharama zake pamoja na baadh ya vitu alivyoninunulia,kanitumia msg za vitisho ila kikubwa ni kwamba niligundua ana mke muda kidogo lakini kila nilipomwambia tuachane anasema nimrudishie kila kitu,tangu mwezi sasa nimefanya maamuzi magumu lakin ndo kama imekua mwiba kila saa sms na cm za kunitisha jana kaja kanigongea mlango nikakimbilia chooni maana taa ilikua inamulika hivyo hakuniona baadhi ya vitu alivyonipa kasoro kimoja ndo kina jina lake sasa nafanye kumbukeni kanitumia na kumbukeni ni mtu anaefahamiana na polisi sasa nafanyaje????
Ninavyojua mimi, logically speaking, zawadi haitakiwi kurudishwa labda tu kama mpokeaji atahisi kuna ubaya unaofuata nyuma ya zawadi ile, zawadi haiachi kuwa zawadi inapokuwa ya thamani kubwa, na haiwi zawadi zaidi inapokuwa na thamani ndogo. Kwa hiyo hoja ya kwamba kama zawadi ina thamani kubwa arudishe haina mashiko.
Hii siyo haki brother don't generalise, ni ushamba uliopitiliza kumdai demu gift ulizompa, labda kama ulikuwa msanii ukampa gari na kadi ukabaki nayo basi ukidai akurudishie poa tu kwa sababu gari bado ni yako lakini gadgets zingine kudai ni ushamba.
Adai na pocket money alizokuwa anampa kama yeye ni bingwa wa kudai.
safi sana....huyo jamaa ni mfano wa kuigwa..
hela zake umezifaidi sasa ni payback time..l
Wanawake bwana, kula mle nyie kugongwa mtake ushauri!!!
mwambie na yeye akaurudishie gharama za kukuchoonoa papuchi...ndugu wana mmu naomba msaada kwani nimejaribu kutafuta kwa njia ya kawaida nimekosa msaada,tatizo ni ex wangu yapata mwezi na kitu tangu tumeachana anataka nimrudishie gharama zake pamoja na baadh ya vitu alivyoninunulia,kanitumia msg za vitisho ila kikubwa ni kwamba niligundua ana mke muda kidogo lakini kila nilipomwambia tuachane anasema nimrudishie kila kitu,tangu mwezi sasa nimefanya maamuzi magumu lakin ndo kama imekua mwiba kila saa sms na cm za kunitisha jana kaja kanigongea mlango nikakimbilia chooni maana taa ilikua inamulika hivyo hakuniona baadhi ya vitu alivyonipa kasoro kimoja ndo kina jina lake sasa nafanye kumbukeni kanitumia na kumbukeni ni mtu anaefahamiana na polisi sasa nafanyaje????
ha ha ha! Eti punguani kama nakuona vilee!!
Kabila gani huyo!!
kama upo makini kweli na usumbufu wa namna hii, ni PM nikupatie namba ya mwanaharakati mama flani hapa mjini, ni mwanasheria na kajizatiti sana kukomoa wanaume wa aina hii
kesi hizi anazipenda maana anashinda buree,
Umenichekesha sana inaonekana huyo mwanasheria ni mpare, Tafadhari nipatie hiyo namba inbox nahiitaji
Duh aisee huyu member utupu aka The Vacuum aisee ni shida...kamaind kinoma na amelivalia njuga hii inshu hadi...
Pole mtoa mada vya bure gharama.
Acheni hizo nyie mnaotoa ushauri eti arudishe vitu. Kwa hiyo binti wa watu awe ametumika bure. Ebo!! Halafu wewe kadadaa mwambie huyo ex wako kuwa mm Kamanda Kazi ni bro wako. Kama yeye yuko karibu na polisi basi wewe uko karibu Kamanda mpiganaji.
Miaka 50 sasa kama bado utoto basi nitakuwa nimeshavuka chalinze maana nasikia uzee unaishia chalinze
masai kwani huna rungu na sime kiunoni?ndugu wana mmu naomba msaada kwani nimejaribu kutafuta kwa njia ya kawaida nimekosa msaada,tatizo ni ex wangu yapata mwezi na kitu tangu tumeachana anataka nimrudishie gharama zake pamoja na baadh ya vitu alivyoninunulia,kanitumia msg za vitisho ila kikubwa ni kwamba niligundua ana mke muda kidogo lakini kila nilipomwambia tuachane anasema nimrudishie kila kitu,tangu mwezi sasa nimefanya maamuzi magumu lakin ndo kama imekua mwiba kila saa sms na cm za kunitisha jana kaja kanigongea mlango nikakimbilia chooni maana taa ilikua inamulika hivyo hakuniona baadhi ya vitu alivyonipa kasoro kimoja ndo kina jina lake sasa nafanye kumbukeni kanitumia na kumbukeni ni mtu anaefahamiana na polisi sasa nafanyaje????
ndugu wana mmu naomba msaada kwani nimejaribu kutafuta kwa njia ya kawaida nimekosa msaada,tatizo ni ex wangu yapata mwezi na kitu tangu tumeachana anataka nimrudishie gharama zake pamoja na baadh ya vitu alivyoninunulia,kanitumia msg za vitisho ila kikubwa ni kwamba niligundua ana mke muda kidogo lakini kila nilipomwambia tuachane anasema nimrudishie kila kitu,tangu mwezi sasa nimefanya maamuzi magumu lakin ndo kama imekua mwiba kila saa sms na cm za kunitisha jana kaja kanigongea mlango nikakimbilia chooni maana taa ilikua inamulika hivyo hakuniona baadhi ya vitu alivyonipa kasoro kimoja ndo kina jina lake sasa nafanye kumbukeni kanitumia na kumbukeni ni mtu anaefahamiana na polisi sasa nafanyaje????