Tabu gani mzee baba?Umejikomoa mzee baba pole ,umejiongezea tabu tu hapa duniani japo watoto ni baraka
Wakubwa wenzangu wameshanielewa,wewe mtoto tuliaHahahhaaaaaa
Kamkuta mke wa jamaa kajitunza kama alivyozaliwa!!!?.
Dogo anatuona wote watoto wenzie...
Inawezekana hata mkeo anayo Ila wewe hujui ilipoMke wa mtu ukamkuta "kama alivyozaliwa"? kuchapiwa kutakuwa kumekuathiri sana Jomba. Pole sana
Hata asipojua kisasi kiko palepaleBado haujalipa kisasi. ilitakiwa mwenye mke nae ajue kuwa umetembea na mke wake ndio kisasi kingetimia.
Nitamuomba tubadilishaneStage iliobakia ni kumjulisha mgoni wako umekula mke wake
Hapana mkuu, najua una swali la nyongeza uliza nitakujibuUlimkuta kwenye siku zake!?
Sina ufafanuzi elewa hivyo tu kwamba nilimkuta kajitunza Ila ni mke wa mtuhebu fafanua vizuri huu ujinga wako hapa
Nafanya kama alivyofanya yeye mkuu,hajawahi kuniambia anajitafunia kimyakimyaUMELIPA KISASI KIFALA SANA ULITAKIWA UMWONYESHE MUHUSIKA ILI NAE AUMIE
Bahati mbaya sana najiamini kupita kiasi hiyo kimbo atembee nayo yeye sio miminasisitiza ukiamua kuchkua maamuz haya ucsahau kutembea na "kimbo" Kama lubricant chochote kinaweza kutokea
Muhudumu Leta chai
Uongo uko wapi sasa?mtoto wa watu alijitunza sana yaani nilimkuta kama alivyozaliwa.
UWONGO MWINGNE DOOO HV MKE WA MTU ANAKUA BIKRA KWEL AU NI MIMI SIJAELEWA
Daaaahh wanajiandikia tu mradi wapost. Eti mke wa mtu kamkuta kama alivyozaliwa labda alimkuta uchiYaani mke wa mtu halafu umemkuta kama alivyo zaliwa
KadanganyaYaani mke wa mtu halafu umemkuta kama alivyo zaliwa
Hakuna ufafanuzi mkuu[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mke wa mtu umemkuta kama alivyozaliwa kivipi? Hebu fafanua vizuri hapa.
Tia majiChumvi imekolea sana
Hata yeye ana watoto wawili ila alikuwa saafiHata mke wangu ni bikra na tuna watoto hahahahahaha