ndandambuli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 948
- 639
- Thread starter
- #61
Hata mimi sijuiMke wa mtu umemkuta kama alivyozaliwa wakati mm3 wake umeambiwa ni kiwembe, hicho kiwembe alikua hakinyoi mkewake?
Hata mimi sijuiMke wa mtu umemkuta kama alivyozaliwa wakati mm3 wake umeambiwa ni kiwembe, hicho kiwembe alikua hakinyoi mkewake?
Utoto raha sana kua uyaoneMimi sijaelewa pia. Sasa kama alikuwa bikra si inamaana hatoi gemu kwa mumewe wa ndoa sasa akimuoa wa kazi gani?!
Sasa mbona ana mlaumu mumewe kutoka nje, sasa kama hampi alikubali kuolewa ili iwaje?!
Asante mkuuHao wake zenu bure kabisa!
Poleni.
Katukosea sana.Hahahhaaaaaa
Kamkuta mke wa jamaa kajitunza kama alivyozaliwa!!!?.
Dogo anatuona wote watoto wenzie...
Sisi tunajiandikie tu halafu wewe unasoma tu halafu huelewiDaaaahh wanajiandikia tu mradi wapost. Eti mke wa mtu kamkuta kama alivyozaliwa labda alimkuta uchi
Umegoma kunywa chai mkuu?".....mtoto wa watu alijitunza sana yaani nilimkuta kama alivyozaliwa..." mwisho wa kunukuu.
Bahati mbaya sasa kuna joto, ninywe sharubati ndio inafaa.
Ya rangi au ya maziwa?Chai
Kadanganya
Uongo wangu uko wapi mkuu?Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu.
Utakuwa wewe ni pimbi tu!Kuna jamaa kaninyandulia sana mke wangu, Mzee nilijifanya fala tu sijui kinachoendelea,kimya kimya nikaanza kupanga mikakati ya kumtafuta mke wake, haikuwa kazi rahisi kwasababu nilikuwa simfahamu, mwezi mmoja baadaye nikafanikiwa kupata namba yake tukaanza kuwasiliana, miezi mitatu baadaye nikamtia mikononi, mtoto wa watu alijitunza sana yaani nilimkuta kama alivyozaliwa.
Baada muda fulani nikalazimika kumwambia sababu ya kutembea naye ilikuwa ni kulipa kisasi kwasababu mumewe anatembea na mke wangu,hakushtuka hata kidogo akaniambia anamjua mumewe ni kiwembe,ana watoto wawili nje ya ndoa, akaniambia nayeye anatamani sana alipe kisasi kama nipo tayari tukapime ngoma ili nimtie mimba ,tukakubaliana iwe hivyo tayari nimeshamtia mimba tunamsubiri ajaye
Nawashauri nyote mnaosalitiwa na wake zenu waume zenu msikurupuke ,dawa ni kulipa kisasi tu mkiamua kusameheana sameheaneni mkiwa ngoma droo,sio mnasameheana halafu mnabaki na vinyongo mioyoni mwenu,usipolipa kisasi utakuwa na kinyongo tu hatimaye magonjwa ya moyo.
Bumbafuuu menyewe,basi ndio hivyo mke wangu hanipendi Ila mkewe kanipenda.ukiona mkeo kachapwa nje ujue hakupendi.....so visasi havikusaidii......."kama alivyozaliwa" labda kama ni 071............ pumbafu wewe....
Halafu wewe Kipepe?Utakuwa wewe ni pimbi tu!
Mkeo anamalinda!?Hapana mkuu,najua una swali la nyongeza uliza nitakujibu