Everyone hates condoms; How to love them!

Everyone hates condoms; How to love them!

FAMILY PLANNING PEOPLE....!!!!!!!:israel:

Wakati watoto wa mitaani wamejazana mpaka wanaleta kombe la dunia? kuna family planning hapo kuna uzinzi tu?

Tukiendelea hivi hivi, na kombe lingine la dunia la watoto wa mitaani tutegemee kulitwaa.

Sijawahi kuona ubingwa wa aibu kama huo, halafu kuna mapunguani wanausherehekea. Khaaa!
 
Hahahaa, na wewe mbona umeweka mashine ya maana hapo sjui kitu Mark XIX, Desert Eagle! wacha nimwache kwanza mzee mzima Rick-Ross a.k.a Freeway Ross atulie hapo anikumbushe thick and thin za hustling! au unaniambiaje mkuu?
nimemuweka bulldog mwenyewe sasa.
 
nimemuweka bulldog mwenyewe sasa.

dah, ama kweli avatar ni utambulisho kama sura ya mtu, hapo sasa umeonekana ni wewe Bulldog wa kila siku. Ngoja kwanza nikae na hii wiki moja nione mrejesho, huenda mkaizowea tu mkuu.
 
dah, ama kweli avatar ni utambulisho kama sura ya mtu, hapo sasa umeonekana ni wewe Bulldog wa kila siku. Ngoja kwanza nikae na hii wiki moja nione mrejesho, huenda mkaizowea tu mkuu.

Haina noma bro
 
Sitaki kukumbuka salama kondom ilivyonitenda nilipokua na sex na changu yule. Niliishi kwa presha mie miez mitatu wasiwasi haunishi
 
Sitaki kukumbuka salama kondom ilivyonitenda nilipokua na sex na changu yule. Niliishi kwa presha mie miez mitatu wasiwasi haunishi
Ilikupasukia nini mkuu. Ha Ha Haa inabidi uvae mbilmbili shehe.
 
Back
Top Bottom