Anthony Threedeyea
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 471
- 47
true speaking...
wewe huwa haufanyi shangazi?
Hizo ndom zinauzwa bei gani?
isijekuwa buku teni,na hizi mvua zinazoendelea yani kila siku nitoe ten hiyo bajeti nyingine sasa
Ila, Kwa dharula.
Sio mimi, Maandiko hayo.
Ila, Kwa dharula.
Sio mimi, Maandiko hayo.
wewe huwa haufanyi shangazi?
pole sana dada, lakini mbona thread ya kawaida hii mihemko inakujaje mkuu?
rough ryder ndiyo matakataka yenyewe hayo mkuu, fake zimejaa!
unamaanisha nini, tusisex?
rough ryder ndiyo matakataka yenyewe hayo mkuu, fake zimejaa!
2*3*7= 42 matumizi yangu kwa wikibei ni karibia sawa tu na hizi zingine, pakti ya pc 24 inauzwa kama 38,000/=, ukipiga hesabu hapo unaona 3pc zitasimamia kama elf 4 hivi, sawa tu na hizo zingine madukani, (ukiondoa za ruzuku..lol). Hizi ziko engeneered vizuri, watu walio sensitive na condoms zinafaa sana, nani hapendi joto la nyama jamani!!! Kwa watu kwenye ndoa wengi wanaenda kavu tu lakini mama anatumia njia zingine za uzazi wa mpango kama vidonge na nyinginezo, kuna wengine hizo njia zinawaletea maudhi hivyo wanatumia condoms siku za hatari, au wewe kila siku ni danger mtu wangu?!!
ni kweli kabisa mpwa ndio maana bado nakuomba upunguze bei usaidie na sie wanandoa hata wakijifunguaoh, nimekusoma mkuu, lakini condom mpaka kwenye ndoa zinatumika!
2*3*7= 42 matumizi yangu kwa wiki
inamana nahitaji pakti 2
duh garama
Nachelea Kigoda hiki si mahsusi kwa mjadala huu.Astaghafirullah, weka ushahidi wa hayo maandiko.