Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,088
- 136,598
- Thread starter
- #21
Mada imenigusa.Kila Mara huwa namfikiria binti yangu.Itakuwaje atakapobarehe?Atanisikiriza tena kama sasa?Katika yote hayo sipendi hata kidogo kuwaza kuwa atamvulia chupi mwanamume.daah, so sad.
Hahaaa it's called life. So get over it.
But I hear you.