Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,377
- 176,227
Yaani acha tu na hakuna msamaha hadi umekula fimbo za kutosha.😀 unajitafutia fimbo mwenyewe ukiona umeshayakoroga.. No mercy!
Basi kulikuwa na watoto wa jirani walikuwa wanatushangaa kweli. Maana wao kuchapwa ni timbwili hadi wakimbizane, sasa wakawa wanashangaa eti unafuata fimbo mwenyewe ili uchapwe!