Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,089
- 136,626
- Thread starter
- #41
Ukikosea anakuambia ukalete fimbo mwenyewe tena fimbo zilizotulia, unakula mboko hadi unanyooka.
Na wewe unaweza ku twerk?
Ukikosea anakuambia ukalete fimbo mwenyewe tena fimbo zilizotulia, unakula mboko hadi unanyooka.
Mweeeh na uzee huu! Vitu vyote vimekauka.Na wewe unaweza ku twerk?

Mada imenigusa.Kila Mara huwa namfikiria binti yangu.Itakuwaje atakapobarehe?Atanisikiriza tena kama sasa?Katika yote hayo sipendi hata kidogo kuwaza kuwa atamvulia chupi mwanamume.daah, so sad.
Kuna theory kwamba kama mwanaume ulikuwa playa sana na ukaharibu sana mabinti za watu basi na wewe ujiandae wa kwako kuliwa vivyo hivyo,tena sasa mungu alivyo wa ajabu utashangaa unazaa mtoto mzuri balaa,yaani kila ukijiuliza hupati jibu, maana ukijiangalia weye na mkeo na koo zenu unajiuliza hivi huyu dogo huu uzuri kaupatia wapi.asa ngoja abalehe uone huo moto wake
Ndo maana nkasema theory mkuu,najua wapo watoto wa watu wema ambao waliokuja kuwa tafauti kabisa na wazazi wao ingawa wazazi walijitahidi kwenye malezi.ila usjali bamkwe mwenye binti hakosi mkamwana(sina uhakika na hili neno)Hiyo ni dhana potofu tu.
Hayo mambo yanaendana na maadili ya mtu. Kama mtu [binti] mwenyewe ana maadili dhaifu na ni mwepesi wa kulala na watu hovyo hovyo basi hivyo ndivyo atakavyokuwa.
Hayo mengine ni imani, sadiki, na dhana potofu tu.
diamond nae akaamua kutoa ya moyoni kuwa tifa asitoe tamu sana,atoe kidogo tu.siku hz kuzaa stress tangu mimba hadi mtoto kumature.wa kike inauma akifanya vitu kama hivyo in public au akiwa malaya,mbaya ni mtoto wa kiume kuwa shoga.kuna challenge nyingine kama kujiingiza kwenye vilevi hatarishi kama cocaine nk.
Hata mimj ningemaindi aisee ,kutwerk sio ishu sana lakini ile ya kivuta nguo juu ndo imensikitisha,yan mpaka nkaona aibu utafkiri ni mwanangu.ukiona mpaka wamarekani wenyewe wameshangazwa bas ujue alivuka kidogo mipaka ya kujiachiaDingi imebidi amkoromee binti sio...
Hata mimj ningemaindi aisee ,kutwerk sio ishu sana lakini ile ya kivuta nguo juu ndo imensikitisha,yan mpaka nkaona aibu utafkiri ni mwanangu.ukiona mpaka wamarekani wenyewe wameshangazwa bas ujue alivuka kidogo mipaka ya kujiachia
sureChangamoto za malezi ni nyingi sana.
Ila naamini mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.
Tekeleza majukumu na timiza wajibu wako kama mzazi na utakuwa umefanya yaliyo ndani ya uwezo wako.
Mengine yatakuwa juu yake yeye sasa. Maana itafika tu wakati naye itabidi ajifanyie maamuzi yake mwenyewe.
Kuhusu vipaja hivyo wala usimlaumu siunajua bimkubwa ni health food and fitness fanatic,huyo inaelekea nyama kwa wiki ala mara moja.we umeona wapi mmama wakiafrika anapiga mipushapu ya knuckles.Binti akianza kushi chuoni labda ndo anaweza kutoka shavu dodoHalafu vipaja vyenyewe hamna kitu....tumifupa na tunyama tu.
Mkuu hujakapitia tu?Kanaonekana kana uchakaramu flani hivi..
Sikuhizi watoto wa kiume ndo wanahofiwa zaidi... Changamoto za malezi na tabia imekua ni pande zote kwasasa. Tofauti na zamaniKuna wakati naona bora niwe na mtoto wa kike wa aina hiyo kuliko kuwa na wa kiume shoga.
😀 unajitafutia fimbo mwenyewe ukiona umeshayakoroga.. No mercy!Hahahaaa! Umenikumbusha my mom.