Everton waamua kula kwa mama ntilie Dar

Everton waamua kula kwa mama ntilie Dar

Baadhi ya wachezaji wa Everton wakipata kifungua kinywa katika moja ya mgahawa jijini Dar es Salaam.
Wachezaji wa Everton wafurahishwa sana na mapokezi ya Tanzania pia waenjoy kucheza pamoja na wamasai..
wameonekana wakijichanganya sana hata kuenda kula chai kwa vitumbua kwenye migahawa ya mama ntilie bongo.


welcome everton & rooney​


Wakishamaliza ' Kula ' hivyo wakirudi Vyumbani mwao humo ' Mahotelini ' wanapewa ' Vidonge ' maalum wanavitafuna au kuvimung'unya kisha hizo ' takataka ' zote za ' Kiswahili ' walizokula hapo zinayeyuka huku zingine wakizitoa kwa njia ya haja ndogo na kubwa. Mara nyingi huwa wakija kama katika nchi kama hizi zetu huwa ' wanafungasha ' Vyakula na Vinywaji vyao wanavyovimini na ukiona wanafanya kama ambavyo wamefanya leo jua ni ' geresha '. Katika kitu Kikubwa ambacho ' Mzungu ' hawezi kukiamini hata kidogo ni Ngozi Nyeusi ' Mwafrika '.

Wazungu wasikie tu kwenye ' bomba ' Mkuu.
 
dah huyo jamaa mwenye miwani pembeni hapo amekandamiza kitumbua balaaa..halafu amekikubali kilivyo kitamu...
 
ila msiwake karibu tu na wale makahaba wa Bongo movie wasije wakatuharibia...
 
mimi sijamuona Rooney akila hivyo vitumbua nadhani nina matatizo ya macho.
 
Aje na zanzibar

Sent from my itel it1507 using JamiiForums mobile app
 
Elfu 3 kwa elfu 8 sasa kama mashindano ya kumpata mtu atakae cheza na toffees yamefanyika dares salaam nadhani inaleta maana na mechi kuchezewa dar ki muono wangu lakini sijui kwa mujibu wa sportpesa labda wao wana sababu lukuki
Sportspesa ni kampuni ya Kenya na mwaka huu wameingia Tanzania kuwekeza ili kujipanua ndio mashindano haya yamefanyika bongo ,lengo haswa ni kuutambulisha uwekezaji wao TZ
 
Waje hapa kwenye genge langu wapate ugali safi wa mtama kwa mlenda
 
Hivi watanzania mnachoshangilia ni nini hapo kwa mzungu kula kitumbua au....? Kwa ujinga huu wacha bashite na sizonje waendelee kutawala tu

Sent from my LG-F600K using JamiiForums mobile app
 
Timu inayoshiriki ligi kuu England iliyoletwa Tz kwa udhamini wa SportPesa wamewasili Tz leo, ila wakaamua kula kwa mama ntilie

wamefanya hivyo kuuunga mkono kauli ya hapa kazi tu "nawaza kilumumba tu"
 
Duu safi sana...

Messi nae akichoka tuu tutamuona hapa!

Hakika TZ ni jalala la wachovuu..

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Beckam kaja baada ya kustafu

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
Ma start wetu ndo wajifunze.
Sio ukijulikana kidogo tu. Unajidai hata Chakula cha nyumbani kwenu huli. Unakula hotelin.
Safi sana

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app


Watu wa mjengoni wa kule baby care Centre wakasema kuwa siku zile kuwa wamehama hotelini wanalala kwenye nyumba za kawaida na kula mtaani maana hela ni kidogo.

Japo tumekuwa nao tukiwaona wanatembea bila viatu, wengine wanalala / wanaishi kwenye nyumba za mbavu za mbwa na temba Ila ghafula wanajinasibu kuwa hadhi yao siyo hiyo na ikumbukwe kuwa ndugu zao kabisa wa familia zao bado wanalala kwenye nyumba za mbavu za mbwa na temba na kula mitaani.

Ona sasa , wenye fedha zao wanavyoishi, very simple and funny kind of life.

Duniani pana maajabu mengi sana ila ya Tanzania yamevuka mipaka.
 
C kwamba wataigeuza baadae tuone kwenye documentary wanavyouchambua umaskini wetu Kama walivyofanya kanda ya ziwa kuwa tunakula mapanki badala ya samaki aina ya sangala,tulieni tu mtakuja ona haya ninayowaambia

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app

Hiyo haiepukiki wazungu koko ni wazee wa double standard, kwa kila wafanyacho.

Kwa hiyo, ulichowaza kimeisha timia hata kabla hujaandika humu JF.
 
Back
Top Bottom