mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,562
- 2,493
Sisi ndo tatizo na siyo mastaa wetu, mastaa wetu wakila kwa mama ntilie ni sisi ndo tunaanza vidomo domo mara ooh,kaishiwa kumbe mabo hayo ni ya kawaida tu na huwa hatuyaoni ila wamefanya wazungu ndo imeonekana ni sahihi. Tuache tabia za utumwa...!!!Ma start wetu ndo wajifunze.
Sio ukijulikana kidogo tu. Unajidai hata Chakula cha nyumbani kwenu huli. Unakula hotelin.
Safi sana
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app