dah! hii koment yako naipitia mara mbili mbili nakaribia kuielewa lkn si kwa uhakika.Approach ya Kistaarabu toka kwa Wakoloni wetu....They dont sell madini ....wako busy ktk kuuza knowledge na haya ni matunda ya WAUZA MAARIFA YA KISTAARABU.
Tutaenda Taifa tutake ama tusitakeee.....