mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 96,010
- 137,128
Ingekuwa poa kama mwakyembe angewa join piaIle nyimbo ya juma nature ya Ugali ingefaa sana hapo
Ova
Ingekuwa poa kama mwakyembe angewa join piaIle nyimbo ya juma nature ya Ugali ingefaa sana hapo
Kila siku wako mahoteli ya maana hao, nao wanataka vitu vipya vya kushareWhat are they trying to prove? Bongo hakuna hotel au ??
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Ndomana yake!Toka wazaliwe wanakula hicho hicho, acha wabadilishe bwana kidogo...
Masta wa Kibongo wanakuambia wao hawawezi kula chakula cha 1500Safi saana, wakaribie na huku mbagala
Wanajiona mafahari wakati wenzao wanalipwa madola kibao na wako simpleMasta wa Kibongo wanakuambia wao hawawezi kula chakula cha 1500
Ova
Alikuja mdenish mmja bongo alifikiaga maskani kwa jamaa yangu mmja basi khsu mambo Ya kula jamaa akawa anampeleka best bite,mara mary Brown yule mzungu akamwambia mm nataka kula chakula halisi cha Kibongo n'a cha bei nafuu ambayo watu wa chini wanakimuduWanajiona mafahari wakati wenzao wanalipwa madola kibao na wako simple
Poa mkuuKwanzia leo naanza kushabikia Everton..badala ya chama langu la kitambo Chersey..langi za jezi zinashabiliana
Timu inayoshiriki ligi kuu England iliyoletwa Tz kwa udhamini wa SportPesa wamewasili Tz leo, ila wakaamua kula kwa mama ntilie
Hata wenyewe wanafurahia wakibadilisha mazingira mpaka menuAlikuja mdenish mmja bongo alifikiaga maskani kwa jamaa yangu mmja basi khsu mambo Ya kula jamaa akawa anampeleka best bite,mara mary Brown yule mzungu akamwambia mm nataka kula chakula halisi cha Kibongo n'a cha bei nafuu ambayo watu wa chini wanakimudu
Basi Kna Siku nkampeleka kupiga tea kitu chai n'a maharage n'a chapati 1300/
Mchana lunch wali au ugali n'a maharage n'a mboga mboga 1500/ ahh jamaa alifurahi sana
Bia nikawa nampeleka bar zetu hzi,jamaa mpaka leo anakumbuka sana hii kitu
Ova
Mkuu hata tukienda kwa bibi kusalimia si huwa anaboresha baadhi ya vitu ili angalau wajukuu zake tufurahi aka tuwe katika uhalisia wa maisha tuliyoyazoeaMama n'tilie huyu yuko vizuri. Ana tissue paper na maji ya chupa!
Hata Magu alikula kwa mama ntilie
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
What are they trying to prove? Bongo hakuna hotel au ??
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Bongo bana, angeenda Magufuri watu wangetoa mapovu anatafuta kick, ila kwa vile hawa wanatoka ulaya mukide tuWamependeza
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app