Holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 8,454
- 18,795
Siku mojamoja jitahidi uwe unaenda kula kwa hawa akina mama wanaobangaiza,utabarikiwa zaidi na zaidi, unakuta mama wa watu anaamka saa 11alfajili,anaanza kuchemsha chai,huku anachoma vitumbua na chapati,hapohapo anahudumia wateja, ni wanapitia tabu sana,hivyo ukienda kula maramoja japo najua sio hadhi yako utabarikiwa sana,madhira wanayopitia ni mengi mno, anawahi kuamka,anachelewa kulala. MCHANGIE MAMA NTILIE LEO UBARIKIWE KATIKA KAZI ZAKO. Aslam Aleykum.