Everton waamua kula kwa mama ntilie Dar

Everton waamua kula kwa mama ntilie Dar

Wazungu maisha yetu huwa wanayapenda sana
 
Hiyo haiepukiki wazungu koko ni wazee wa double standard, kwa kila wafanyacho.

Kwa hiyo, ulichowaza kimeisha timia hata kabla hujaandika humu JF.

Wanataka kuthibitisha hizo ndo hotel zetu za nyota 5,

Vipi mazoezi watafanyia uwanja gani nataka nikawaone
 
What are they trying to prove? Bongo hakuna hotel au ??

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
I think this is market strategy...namna ya kuongeza wigo wa mashabiki...ts owesome

Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
 
Elfu 3 kwa elfu 8 sasa kama mashindano ya kumpata mtu atakae cheza na toffees yamefanyika dares salaam nadhani inaleta maana na mechi kuchezewa dar ki muono wangu lakini sijui kwa mujibu wa sportpesa labda wao wana sababu lukuki

Yamefanyika Dar kwaajili ya kuipromote kamapuni yao,maana Kenya tayari wameshajiimarisha
 
Gazeti la Daily Mail wameiita Dar ni fishman village ,kwahiyo hao wanaprove kwa kuonyesha wapo kijijini wakinywa chai
 
Wanataka kuthibitisha hizo ndo hotel zetu za nyota 5,

Vipi mazoezi watafanyia uwanja gani nataka nikawaone

Haaa haaa Haaa haaa teeeh teeeh teeeh. Uwanja wa mazoezi ila game kwenye uwanja mkubwa wa Taifa.
 
Wataendeshaaa mpaka wakomee...!!

Sent from my Z30 using JamiiForums mobile app
 
Viingilio bei gani?Hivi kwanini SportPesa wameamua mchezo uwe Daresalaam na siyo Nairobi?.Lazima kuna sababu ya kitaalamu/Kibiashara.

Sent from my SM-A710F using JamiiForums mobile app
Wewe utakuwa ni mkenya.. Kama ni mTZ basi tunakutoa kwa mkopo kenya
 

Hiyo ndiyo video itakayoeenezwa duniani kote ikituonesha wabongo kiwango chetu cha maendeleo kilipofikia. Ha ha haaaa
!
Na uwanja Wa taifa pia utaonekana dunia nzima, bila kusahau JKNIA na Hoteli waliyofikia... Ukitaka kudiss think deep enough
 
Back
Top Bottom