AKILI ZAKO
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 2,924
- 4,474
Alikacha mapema baada ya upepo wa kibegi kwaumiza akaonq borq akae pembeni kuepuka aibu ndogo ndogoKwan manara hakuwepo?
Alikacha mapema baada ya upepo wa kibegi kwaumiza akaonq borq akae pembeni kuepuka aibu ndogo ndogoKwan manara hakuwepo?
Yah kweli ni aibu ndogo ndogo zinaua brand mkuuAlikacha mapema baada ya upepo wa kibegi kwaumiza akaonq borq akae pembeni kuepuka aibu ndogo ndogo
Stop this shit mdogo wangu
Bado wanajiuliza, Simba aliwezaje kucheza Champion League mpaka robo fainail wakati Yanga alienda shirikisho na kibaya zaidi hayupo Super cup pamoja na kuvaa medali?Mimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?
Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
ni kweli imedororaMimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?
Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
Tulicheza Champion League mpaka robo fainali na sasa ni Super CupMm ni YANGA ila SiMBA mmeshindikana
Huko mwezini si huwa mnaenda kila mweziTulicheza Champion League mpaka robo fainali na sasa ni Super Cup
Msimu huu, matarajio ni kucheza Champion League mpaka fainal. Mwakani tutaenda mwezini
Alikacha mapema baada ya upepo wa kibegi kwaumiza akaonq borq akae pembeni kuepuka aibu ndogo ndogo
Pamoja na kuvaa medali lakini kwenye African super cup hawapo. Ndiyo ujue Shirikisho ni Loosers' cupMatukio ya Yanga yamekua mengi kwa msimu huu lazima watu wapoe kidogo
Ila mkifanya nyie ni ruksa au sio ?Stop this shit mdogo wangu
Yanga ni timu yenye wananchi wenye akili nyingi
Siyo maana hiyo. Tangu lini Simba dume linalocheza Champion League mpaka robo fainali na sasa Super cup akaingia kwenye maana yako?Huko mwezini si huwa mnaenda kila mwezi
Ndiyo maana mecheza Losers' Cup. Champion league itaanza hakuna kujilegeza ukacheze kombe la walioshindwaYanga ni timu yenye wananchi wenye akili nyingi
Jionee mwenyewe!Nini?
Matola aliandika hivi humu??