European Parliament resolution on Tanzania

European Parliament resolution on Tanzania

[emoji23][emoji23][emoji23] pamoja mkuu , andaa kila kitu ntatimo sauti , alafu uzinduzi wapiii ?? mkuu are you serious

Ni kama utani mkuu...

Kusanya clips kwenye taarifa za habari,nachukua magazeti articles,international articles,habari za TZ toka CNN,Aljazeera,na-screenshot na kuhifadhi tweets,JF na instagram mbalimbali za wanasiasa,activits na raia mbalimbali,youtube materials locally and abroad sio millard ayo,sio nani wala nani...Nakusanya materials kadiri niwezavyo!

Hifadhi kwenye computer folders kwa vichwa vya habari maalumu....Kama mzigo mzima wa Clouds saga na Makonda wenyewe tu ni season nzima!

Kabla sijafa lazima nitoe documentary ibaki kama one of the best documentary ..nisingejali napata hela or not...

Inasetiwa high level,best cutting,editing,story arrangement,best video quality Ultra-HD,etc

Kipindi hicho unakuta jiwe yupo Chattle retirement,nchi ni 100 democratic,watu tupo huru,maisha ni mazuri,watu wana hamu na historical documentaries vibaya sana ndio una release the country's first blockbuster!
 
Sisi wengine hawa tumeishi nao, tumewafanyia kazi hivyo tunawajua fika, hakuna kitu.
P

Mayalla hivi leo una underestimate power of the world's superpowers?

Hivi kweli?

Unawadharau kiasi hicho?

Wewe kupewa vibarua vya kuandika andika na hizi balozi zao tayari ushawadharau kiasi hiki?

Nadhani ni masihara ya kitoto unafanya ndugu yangu....

These people are no joke,kazi mliyobakia nayo ni kuchemsha bongo zenu mvuke huu mtihani salama,huwezi kudharau opponent wako namna hii halafu tukuchukulie serious!
 
Hapo number 8,hawa EU ni bure kabisa!, Rais Magufuli ndiye aliyesema hasomeshi wenye mimba, sasa una call authority gani iingilie?.

Number 9 wanampangia kazi Rais Magufuli?!.

Number 10 kuna watu wameshitakiwa for political crimes or ni criminal issues.

Hawajui kuwa Magufuli hapangiwi?. Kama katiba alioapa kuilinda ameweka pembeni, who is EU?.

Naona hawa wazungu wanajifurahisha tuu, kama vipi wazuie tuu misaada yao na watunyime visas za Shengen, tutakwenda UK na China.

Tanzania ni sovereign state, tuna uhuru wa kujipangia mambo yetu kama hatutaki ushoga wasitupangie na kutulazimisha bali tufundishwe tuu managing diversity ya kuwakubali mashoga kama walemavu wengine wote, tusiwabague wala kuwanyanyapaa lakini kubadili sheria zetu bado sana.
P
Nitakataa siku zote kuwa, masikini hana "Sovereignty" na hatakaa aipate mpaka mwisho wa dahari.
 
Jiwe namshuku akili zake. Kama Gadafi, Saadam walikuwa wababe lakini walikoishia panajulikana sembuse huyu? Time will tell. Kwa mgawanyo huu alioutengeneza sio tu wapinzani, hata ccm yenyewe, wafanyakazi, wastaafu, wakulima, na wafanya biashara jiwe anazidi kujimaliza. Hivi hana washauri?
Yaani wazungu wana- take advantage kupenyeza ajenda zao za ushoga!! Kwakuwa tumejeruhiwa na jiwe tutapata tabu sana!
 
China pekee is Bigger than EU....in all aspects!afu hawana mambo ya kijinga kama hao EU
Mkuu hamna kitu kama hicho, hao EU wakianza kukutandika China ajitokezi hata siku moja yeye ni rafiki ako, ukiwa na amani tu, wakati wa vita na vikwanzo anatafuta nchi zingine kufanya biashara zake, Mchina nimbaya katika shida sio wakutegemea tena kumbuka EU=USA tena USA is the "policeman" of the world he determines whom to hit and when and how,.... tu na ishi katika era ya "PAX American" what ever America decides and does is "right" others follow to.
 
Mayalla hivi leo una underestimate power of the world's superpowers?

Hivi kweli?

Unawadharau kiasi hicho?

Wewe kupewa vibarua vya kuandika andika na hizi balozi zao tayari ushawadharau kiasi hiki?

Nadhani ni masihara ya kitoto unafanya ndugu yangu....

These people are no joke,kazi mliyobakia nayo ni kuchemsha bongo zenu mvuke huu mtihani salama,huwezi kudharau opponent wako namna hii halafu tukuchukulie serious!
Tangu lini EU ni super power?.
Kama US wenyewe ambao ni super power kiukweli, kwenye lile la Zanzibar, tumewagomea na fedha zao za MCC wakatugomea, na tume survive bila wao, who is EU kwetu mbele ya sovereignty yetu?.

Take it from me, hakuna kitu hapo.
P.
 
Na uhame na nchi mi utanikuta nipo KWA MALIKIA NIMESHAKIMBIA NAENDA KUOMBA ASYLUM SEEKER NIWE M BRITISH TU KWA KISINGIZIO NIMENUSURIKA KUKAMATWA NA MAKONDA TEHE TEHE NAWAAMBIA MI GAY KWANI WATANICHUNGULIA TUNDU LANGU KUPROOVE
Sio kukuchungulia tu aiseee, naskia itabidi wakuchape nao kwanza. Kila la kheri
 
Utaondoaje neno lilipo kwenye maandishi hawa wanataka ushoga tu na kitu ambavho hakikubaliki nchini
Mkuu naona umeona ushoga tu kwasababu ushajipanga kuelekea huko..

Document imeongelea haki kibao mkuu....jaribu kusoma vizuri!

Watu emotional wanakimbilia kile kilichostua emotions zao wanaacha mambo chungu nzima ya maana vilevile..

Ondoa neno ushoga kichwani mwako for a minute and re-read the document uone vitu vingine!
 
Tangu lini EU ni super power?. Take it from me, hakuna kitu hapo.
P.

Kwahiyo EU ni mavi?

Hivi Civics ulisomea wapi Paskali?Topic ya Neo-colonisalism,Global Trade Balance,Formation of First and Third World Countries and Power Balance,etc,etc

Ulisomea wapi wewe mtu au unajifanya kusahau tu makusudi kuonesha your dishonesty hadharani namna hii?

Hivi hizi nyodo mnatolea wapi wewe Paskali?

Eti hakuna kitu....mbona mnatuona watoto sana?
 
Mkuu naona umeona ushoga tu kwasababu ushajipanga kuelekea huko..

Document imeongelea haki kibao mkuu....jaribu kusoma vizuri!

Watu emotional wanakimbilia kile kilichostua emotions zao wanaacha mambo chungu nzima ya maana vilevile..

Ondoa neno ushoga kichwani mwako for a minute and re-read the document uone vitu vingine!
There are some other big problems in Dar, where locals do not get job and illegal expats are earning big money in USD. Can any one help to give me immigration head number to crack down this racket.
 
Utaondoaje neno lilipo kwenye maandishi hawa wanataka ushoga tu na kitu ambavho hakikubaliki nchini

Jitoeni ufahamu tu mkuu....

Mmeona ushoga tu basi tafutieni ufumbuzi ndio maana tumewachagua kwa kazi hizo!

Tafuteni majawabu kwa agenda zote sio ushoga tu,maana naona mnaikomalia sana!

Haya,go to work!
 
Back
Top Bottom