European Parliament resolution on Tanzania

European Parliament resolution on Tanzania

Huyu mtu wamtenge tu mpaka atakapojirekebisha.

Kwa mtazamo wangu,haya maazimio ni kama mtego na akiendelea na kiburi chake,basi ajue tu watakwenda zaidi ya hapa.

Na tujue tu US watawaunga mkono EU.
Huyu bila kichapo, hatajirekebisha!
 
Huyu mtu wamtenge tu mpaka atakapojirekebisha.

Kwa mtazamo wangu,haya maazimio ni kama mtego na akiendelea na kiburi chake,basi ajue tu watakwenda zaidi ya hapa.

Na tujue tu US watawaunga mkono EU.
Sawa James delicious tumekusikia
 
2. Denounces all incitement to hatred and violence on grounds of sexual orientation; urges the Tanzanian authorities to ensure that Paul Makonda ends his provocation against the LGBTI community and is brought to justice for incitement to violence;

Yani Makonda ashitakiwe.
Huu ni mwazo.
Kidogo Kidogo mpaka
raisi atatangaza.
 
Mshaenda kutochongea kwa Mabwana zenu.halafu acheni umbea munapata faida.
 
Kuna mihimili mingine ipi?. Hujausikia mihimili uliojichimbia zaidi?. Kama katiba imekanyagwa then kuna sheria gani unayoizungumzia?. Hawa EU wanajifurahisha tuu mbele ya Magufuli, hapangiwi!.
P
Pascal Mayalla huwa nakuelewa sana tuu na mimi nataka iwe hivyo ili tuone aliyeshika makali na mpini ni nani.

Wazungu walianza kumtafuta Gaddafi hivi hivi wakamtega ili akatae akasema anachosimamia ni maslahi ya wananchi wake, nakumbuka hata yeye alikuwa na lugha kama yetu ya kuwaita mabeberu wanataka mafuta, mwisho wake kila mtu anajua.

So hata sisi we have to be very careful tunapo dili na watu kama hawa tukiendekeza mihemuko hataumia rais peke yake bali sote tutaumia.
 
I can understand your perspective too....

Tuseme either way,EU ka-react baada ya kuingiliwa interests zake!

Na kama LBGT ni "interests" zake,basi yameguswa ndio maana wame-react accordingly..

Nadhani interests zao hasa ni economic and security interests kuna mahali jiwe kawaingilia,sasa walikua wanamtafutia pa kumkamatia,na ndio walipomshikia..Thats how I see it!

EU hana upendo mkubwa kiasi hicho cha kutetea haki za watoto wenye mimba,LBGTs,Lissu,etc..kuna mahali jiwe ka-cross their interest lines!
Tatizo kuu la Tanzania na EU ni Mkataba wa kionevu wa EPA tuliokataa kuingia na kusababisha Nchi majirani walio tayari - Kenya na Rwanda kushindwa kuanza kutekeleza kwa kuwa Mkataba huo unataka Nchi zote kama Kundi (Block) kuingia mkataba.
Yaani ni shida tupu. Wanatuonea tu.
 
Wapo kwenye hatua ya awali ya mawasiliano rasmi. Kitakachofuata ni resolution, na mpango kazi. Vuta subira; nina hakika kibano ndicho kimetangazwa sasa. Ni mambo mengi sana ambayo yameifutia Tanzania sifa za ushirika na EU.

Pia nina hakika Jiwe halielewi kwa hiyo tutarajie kejeli na kauli za kukurupuka.

Waziri wake wa mambo ya nje na mambo ya kimataifa kilabu mingi sidhani kama atamshauri kama ipasavyo. Kaondoa wabobezi wa diplomasia kaweka maboya. Haya chacha
Acha uongo wako wewe, wabobezi gani wameondolewa? Ama wewe walioteuliwa na Kikwete ndio wabobezi?
Kila Kiongozi anateua watu wanaomsaidia kutekeleza Sera zake, hao wabobezi wanaweza kuwa wazuri kwenye Sera za Kikwete na wakashindwa ku-deliver kipindi cha Magufuli. Na ndivyo ilivyo kwani tumewaona wengi waliokuwa wakionekana wazuri kipindi cha Kikwete leo wamegeuka kuwa vituko na wazururaji fulani tu.
Magufuli ndiye Rais anayeongoza kwa kuteua wabobezi serikalini mpaka watu wanalalamika kuwa, umekuwa Serikali ya wasomi tu. Acha unafiki ndugu.
 
Ni wendawazimu kusema tunakataa masharti yao wakati tulikwishasaini mikataba ya kukubaliana na hiyo mikataba ya haki za mashoga. Hivi hukuona walivyonukuu hiyo mikataba ambayo tumeridhia?

Hapa tunabanwa katika yale tuliyoridhia. Kama tulikuwa hatutaki ilitakiwa tusisaini kuliko kusaini halafu unagoma kutekeleza.
Rudia kisoma mzee labda unasumbuliwa na lugha ya malkia [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Acha uongo wako wewe, wabobezi gani wameondolewa? Ama wewe walioteuliwa na Kikwete ndio wabobezi?
Kila Kiongozi anateua watu wanaomsaidia kutekeleza Sera zake, hao wabobezi wanaweza kuwa wazuri kwenye Sera za Kikwete na wakashindwa ku-deliver kipindi cha Magufuli. Na ndivyo ilivyo kwani tumewaona wengi waliokuwa wakionekana wazuri kipindi cha Kikwete leo wamegeuka kuwa vituko na wazururaji fulani tu.
Magufuli ndiye Rais anayeongoza kwa kuteua wabobezi serikalini mpaka watu wanalalamika kuwa, umekuwa Serikali ya wasomi tu. Acha unafiki ndugu.
Hakuna sera za mtu kuna sera ya nchi. Hoja yako inathibitisha ulivyo mateka wa fikra za kichaa.

Huwezi tetea uovu ukafanikiwa. Rudi shule kajifunze propaganda.
 
Back
Top Bottom