Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Umenikumbusha mbali sana.
Au De Jong wa Man City..
Na kuna huyu dogo wa Spurs Erick Lamela wanapiga sana viatu.
Julai 2010, Ndani ya Soccer City, jijini Johannesburg, Fainali ya Kombe La Dunia kati ya Uholanzi dhidi ya Spain, De Jong anamrukia kifuani Xabi Alonso katika style ya Bruce Lee, mwamuzi Howard Webb akaishia kutoa yellow card!
 
Back
Top Bottom