Kwahiyo mzee Kesho kutwa nikaongee vema na hr maana sijaona kabisa EXTRA TIME za mwezi jana. 😀Nimezoea kuangalia American sports!
Marekani wanatumia zaidi overtime badala ya extra time….kitu kilekile tu 😄.
Eako hewani muda huu ngoja tuone kama atatinga fainaligli Azzurri Italia nawapa nafasi kubwa
Usiangalie last penalty shootout ya Spain. Angalia Swiz walivyotolewa wakati na France walipiga safi sana.Wakienda kwenye tuta Italy atapenya!!
Kesho 7 7 utalala kidogoHii mida dahh
Sio kwelImekumbwa kitambo sana tangu kizazi cha akina Thierry Henry, Ruud Van Nistelrooy, Etoo, Drogba, Inzaghi and the like kiondoke wamebaki wakuokota tu kama Lewandoski basi.
Inategemea na ulipo na aina ya misemo wanayotumia! Angalia usije ukadai kitu kwa kutumia misemo yenye maana tofauti katika muktadha tofauti…Kwahiyo mzee Kesho kutwa nikaongee vema na hr maana sijaona kabisa EXTRA TIME za mwezi jana. 😀
Spain inatoboaHuu mzigo unaonekana wazi ni Matuta.
Umenikumbusha mbali sana.Andrea Belotti anacheza tuu rafu, ananikumbusha straika wa zamani wa Bolton Wanderers Kevin Davies aliyekuwa anapenda sana kucheza rafu
Diego Costa?????Sio kwel
Kuna
Suarez
Lewandosky
Ageuro
Diego Costa
Lukaku
Cavani
Benzema
Japo nao wanaelekea ukingoni
Ngoja tuone, huyu kipa wa Spain anaonekana ni mbovu kwa penati.Spain inatoboa
Kama ulivyosema wanaelekea ukingoni.. ndio maana nimesema wakuokota..Sio kwel
Kuna
Suarez
Lewandosky
Ageuro
Diego Costa
Lukaku
Cavani
Benzema
Japo nao wanaelekea ukingoni
Mtu anapigwa dk hizitujiandae kwa penati sasa
Julai 2010, Ndani ya Soccer City, jijini Johannesburg, Fainali ya Kombe La Dunia kati ya Uholanzi dhidi ya Spain, De Jong anamrukia kifuani Xabi Alonso katika style ya Bruce Lee, mwamuzi Howard Webb akaishia kutoa yellow card!Umenikumbusha mbali sana.
Au De Jong wa Man City..
Na kuna huyu dogo wa Spurs Erick Lamela wanapiga sana viatu.