Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Football blood hell
Screenshot_20210707-003122.jpg
 
Spain hao hao walibeba ndoo ya Euro 2012 bila ya kuwa na straika
Walikuwa na Xavi na Iniesta

Aina ya viungo wanatokea mara moja kila miaka 30

Hata hivyo football imebadilika sana toka kipindi kile, Tiki taka ilipigwa natural death mwaka 2013 Bayern Munich alivyompiga Barcelona 7-0
 
Back
Top Bottom