Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,714
- 45,103
- Thread starter
- #3,001
Daah penatiMtu anapigwa dk hizi
Daah penatiMtu anapigwa dk hizi
Naikumbuka sana. Yule Muholanzi alikuwa mshenzi sana.Julai 2010, Ndani ya Soccer City, jijini Johannesburg, Fainali ya Kombe La Dunia kati ya Uholanzi dhidi ya Spain, De Jong anamrukia kifuani Xabi Alonso katika style ya Bruce Lee, mwamuzi Howard Webb akaishia kutoa yellow card!
Amecheza vizuri lakini alikuwa anafanya maamuzi mengi mabovu kwenye robo ya mwisho ya uwanjaKaka Olmo ndio msababishaji hatari, tena hafai Italy inabidi wamchunge sana
Costa wa Chelsea na athletical Madrid unamuonajeDiego Costa?????
Penalty hazinaga mjuzi Mkuu. Hapa atakaejaliwa ndiyo anakwenda mbele. All in all, ngoja tuone.!!!Italy asanteni kwa kushiriki, finali anaenda spain
Costa amekuwa na fomu nzuri misimu kama miwili mpaka mitatu baada ya hapo huwezi kumuweka daraja la akina Lewandowsky au SuarezCosta wa Chelsea na athletical Madrid unamuonaje
Walikuwa na Xavi na IniestaSpain hao hao walibeba ndoo ya Euro 2012 bila ya kuwa na straika