Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,783
- 66,962
The three lions
Naungana na ww, kiukwel huyo kocha anatukosea sana. Mchezo dhidi ya Hungary nilishangaa sana kile kikosi, Joao Felix hivi kwann hakupata nafasi ata ya kucheza? Kwann kocha alimkata Joao Cancelo kuelekea michuano hii?
Kiukwel Ureno wana kikosi kizuri mno kule mbele wana washambuliaji hatari sana. Cristiano Ronaldo, Joao Felix, Diogo Jota, Andre Silva na Bwana mdogo Pedro Goncalves. Huyo Andre Silva we msikie hivyo hivyo ila ana balaa lake. Kocha inabidi abadilike katika mbinu maana ana wachezaji wazuri shida ni namna ya kuwatumia.
Pavel NedvedJamhuri ya Czech ya miaka ile ulitamba sana na ikawa timu tishio kwa vigogo mastaa kama Poborsky, Rosicky, Jan Koller, Petr Cech walikuwa moto wa kuotea mbali sana!!
Naaaam, winga matata sana
Wahakikishe wanapata point 3 kwa Scotland ili waweze kuwa best loserCroatia wanaweza wakashinda mechi ya mwisho akaingia kama best loser
Hivi hii timu huwa inakwama wapi?Hadi half time England hana short on target hata moja
FT ENGLAND 0 SCOT 0Ngapi ngap uko kwa watoto wa malkia?