Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,677
- 26,998
Za ajabu kabisa, nasubiria ile mechi ya Portugal.Leo mechi zote za kisoro..
Za ajabu kabisa, nasubiria ile mechi ya Portugal.Leo mechi zote za kisoro..
sisi wareno wa tandahimba hatuna sababu ya kushindwa kutetea ubingwa wa euro kama walivyofanya spain, adui yetu mkubwa tunayemuogopa ni kocha wetu anayeitwa Fernando Santos mwenye nidhamu ya uoga ndani yake.Sisi Ureno mechi na Ujerumani tutaua mtu
Croatia wanahitaji ushindi hapa, mechi itakuwa ngumu hii
Atleast hiyo kidogo..Timu yawapiga kelele ipo dimbani leo
Danilo nitamuangalia tena kesho vs Germany..game ile ya Hungary alinikosha sana.sisi wareno wa tandahimba hatuna sababu ya kushindwa kutetea ubingwa wa euro kama walivyofanya spain, adui yetu mkubwa tunayemuogopa ni kocha wetu anayeitwa Fernando Santos mwenye nidhamu ya uoga ndani yake.
Unalindwa na ukuta unaoongozwa na pepe, ruben diaz, rui patricio, semedo mpaka hapo sielewi mantiki ya kulazimisha mfumo wa kucheza na double pivot ya danilo na william carvalho (wote hao wana mlingano mkubwa sana wa kiuchezaji)
wachezaji waliopo benchi wenye ubora
ukitaka kushuhudia kivumbi cha wanaume subiria mechi ya france
- João Moutinho (8) = playmaker wa uhakika
- Renato Sanches (16)
- Rúben Neves (18)
- Pedro Gonçalves (19) = likumbuke hili jina
- André Silva (9)= mshambuliaji wa uhakika
- João Félix (23)v= hakuna asiyemfahamu
basi mimi ndiye aliyenizingua mechi iliopita, pasi zake ni horizontalDanilo nitamuangalia tena kesho vs Germany..game ile ya Hungary alinikosha sana.
A must win matchCroatia wanahitaji ushindi hapa, mechi itakuwa ngumu hii
Sisi wa tutawachapa nyie kichapo cha mbwa koko.sisi wareno wa tandahimba hatuna sababu ya kushindwa kutetea ubingwa wa euro kama walivyofanya spain, adui yetu mkubwa tunayemuogopa ni kocha wetu anayeitwa Fernando Santos mwenye nidhamu ya uoga ndani yake.
Unalindwa na ukuta unaoongozwa na pepe, ruben diaz, rui patricio, semedo mpaka hapo sielewi mantiki ya kulazimisha mfumo wa kucheza na double pivot ya danilo na william carvalho (wote hao wana mlingano mkubwa sana wa kiuchezaji)
wachezaji waliopo benchi wenye ubora
ukitaka kushuhudia kivumbi cha wanaume subiria mechi ya france
- João Moutinho (8) = playmaker wa uhakika
- Renato Sanches (16)
- Rúben Neves (18)
- Pedro Gonçalves (19) = likumbuke hili jina
- André Silva (9)= mshambuliaji wa uhakika
- João Félix (23)v= hakuna asiyemfahamu
Game Kali Sana hii wewe unatizama na macho ganiMechi nyingine hazina ufundi kabisa...watu wanarukaruka tu..kama hii ya SWEDEN vs SLOVAKIA
Hakuna udambwi dambwi..Game Kali Sana hii wewe unatizama na macho gani
Mechi nyingine hazina ufundi kabisa...watu wanarukaruka tu..kama hii ya SWEDEN vs SLOVAKIA
sisi wareno wa tandahimba hatuna sababu ya kushindwa kutetea ubingwa wa euro kama walivyofanya spain, adui yetu mkubwa tunayemuogopa ni kocha wetu anayeitwa Fernando Santos mwenye nidhamu ya uoga ndani yake.
Unalindwa na ukuta unaoongozwa na pepe, ruben diaz, rui patricio, semedo mpaka hapo sielewi mantiki ya kulazimisha mfumo wa kucheza na double pivot ya danilo na william carvalho (wote hao wana mlingano mkubwa sana wa kiuchezaji)
wachezaji waliopo benchi wenye ubora
ukitaka kushuhudia kivumbi cha wanaume subiria mechi ya france
- João Moutinho (8) = playmaker wa uhakika
- Renato Sanches (16)
- Rúben Neves (18)
- Pedro Gonçalves (19) = likumbuke hili jina
- André Silva (9)= mshambuliaji wa uhakika
- João Félix (23)v= hakuna asiyemfahamu
Cancelo aliumiaNaungana na ww, kiukwel huyo kocha anatukosea sana. Mchezo dhidi ya Hungary nilishangaa sana kile kikosi, Joao Felix hivi kwann hakupata nafasi ata ya kucheza? Kwann kocha alimkata Joao Cancelo kuelekea michuano hii?
Kiukwel Ureno wana kikosi kizuri mno kule mbele wana washambuliaji hatari sana. Cristiano Ronaldo, Joao Felix, Diogo Jota, Andre Silva na Bwana mdogo Pedro Goncalves. Huyo Andre Silva we msikie hivyo hivyo ila ana balaa lake. Kocha inabidi abadilike katika mbinu maana ana wachezaji wazuri shida ni namna ya kuwatumia.
Kamnyima mwenzake pasi ya goli la wazi kabisa...kanajikuta kastar ka timu.Hahaha kwanini?
Amelewa sifa baada ya mechi ya kwanzaKamnyima mwenzake pasi ya goli la wazi kabisa...kanajikuta kastar ka timu.