watu8, striking force? Timu ina striking force ya kutosha, CR7 (wa pili kwa wingi wa magoli kwa Ulaya nzima, katika msimu wa soka ulioisha) na Nani kama wakipiga kama wanvyokuwa kwenye klabu zao, basi sioni hiyo force kuiangusha Ureno. Kitakachoweza kuwaangusha ni viwango vya CR7 na Nani kuwa vibovu!
Jamani nimekimbia toka mjini nikiwa na matumaini ya kuangalia mechi kupitia ATN na UBC lakini nashangaa hakuna kinachoendelea. Mwenye taarifa plz ili tuanze kujiandaa na nini cha kufanya
Na tayari wameanza kujuta. Kumbuka hawa Sub Champions wa World Cup, sasa ikiwa matokea yatabaki hivi hivi, tusubiri maajabu mengine zaidi katika mashindano haya.
Na tayari wameanza kujuta. Kumbuka hawa Sub Champions wa World Cup, sasa ikiwa matokea yatabaki hivi hivi, tusubiri maajabu mengine zaidi katika mashindano haya.