Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Goaaaaaaaaaa!
Spain 2-0Italy
Kumbe upo chifu.
Goaaaaaaaaaa!
Spain 2-0Italy
Edited...Nadhani ulimaanisha injini ya Italia.
Injini yao imekufa chifu,si unaona Hispania wanavyotamba hapo kati?!
Nipo Mkuu,kwa sasa tunaongoza, lakini kwenye mpira kutangulia sio kufika.Kumbe upo chifu.
tupeni link kama vp online view, kwani dk. ya ngapi?
tupeni link kama vp online view, kwani dk. ya ngapi?
Nipo Mkuu,kwa sasa tunaongoza, lakini kwenye mpira kutangulia sio kufika.
Huwezi jua wanaweza badilisha style kipindi cha pili wakacheza kidukuHii mechi imeshaboa sasa. Hakuna ushindani. Italia utadhani wanacheza sindimba bana. Hata mshawasha wa kumaliza kuiangalia ushaisha.
Kwa mpira wanaocheza Italy leo kuna hatari hata wakaongezwa la 3 maana kiungo kimepwaya na beki pale kuumia kwa Giorgio Chiellini ndio imekuwa inapwaya mpaka basi.....Nipo Mkuu,kwa sasa tunaongoza, lakini kwenye mpira kutangulia sio kufika.
Hii mechi imeshaboa sasa. Hakuna ushindani. Italia utadhani wanacheza sindimba bana. Hata mshawasha wa kumaliza kuiangalia ushaisha.
Kwa mpira wanaocheza Italy leo kuna hatari hata wakaongezwa la 3 maana kiungo kimepwaya na beki pale kuumia kwa Giorgio Chiellini ndio imekuwa inapwaya mpaka basi.....
Labda Coach Prandelli awaingize haraka Alessandro Diamante na Antonio Di Natale wanaweza kubadilisha mchezo....
Haaahaaahaaaaa! Pole sana mkuu, hebu jikaze uwasifie Spain hata kidogo maana mziki wao ndo umewachanganya jamaa zako!Hii mechi imeshaboa sasa. Hakuna ushindani. Italia utadhani wanacheza sindimba bana. Hata mshawasha wa kumaliza kuiangalia ushaisha.
Angalia hapa Mkuu: www.LSHunter.TVtupeni link kama vp online view, kwani dk. ya ngapi?