Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Hawa Italy leo hawajielewi kwenye kukaba.... wasipoangalia ....
 
Ngoma imelala hii.........Spain wanajihakikishia ubingwa.....

Beki ya Italy imekatika sana leo...

Safi sana Jordi Alba
 
Seriously naona chance ya Italy kushinda are getting slimmer by minute
Kwa style hii ubingwa ni wa Spain....Beki ya Italy imelala sana leo,pia viungo wakabaji Ricardo Montolivo na Daniele De Rossi wamepwaya.......Hata Pirlo leo hayuko kwenye form yake..
 
Chance for Italy to cut the score to 2-1 as Montolivo strikes from distance. However, Casillas beats the ball away.
 
Imeanza kuwa sawa...Kumbuka injini ya Spain ni Pirlo, De Rossi na Ricardo Montolivo.....Wakitulia hawa Spain watakuwa na kazi pale kati

Nadhani ulimaanisha injini ya Italia.

Injini yao imekufa chifu,si unaona Hispania wanavyotamba hapo kati?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom