Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Beki ya Italy inakaba ile mbaya...
ITA hawajamaliza SUB kweli?????
Jamaa yuko kwenye kiwango cha juu kweli...Andrea Pirlo ndie nampa "MOTM" award.
Wamezidiwa.....Wanatumia mbinu ya kudefend na kufanya counter attack......Wanaruhusu mashambuliziUingereza kama wanataka kwenda extra time au ndo kuzidiwa?!
Jamaa yuko kwenye kiwango cha juu kweli...