Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Naona wanashinda kupoteza nafasi
Leo atakeshinda ashinde tu..hamna mshindi wa Euro 2012 timu za leo🙂)
Hiyo ndio ndoto yangu, tuje kukutana na German tuwape darasa ya EURO 2008 SP 1(Torres) = 0 GERMAN na WORLD CUP 2010 SP 1 (PUJOL) - 0 GERMAN.Oooi Oooi Wacha good kukusoma...mie nipo kiaina, naona wewe ulijichimbia wapi, Emirates nini?!! Eqlypz nae sijui nae niaje labda majukumu ya maisha! Mie kwa waliobaki nashabikia Germany na Spain.
Hapa tupo ukurasa mmoja kabisa kamanda...Halftime...dk 45 zijazo, England wafanye yafuatayo, wampumzishe James Milner na nafasi yake apewe Chambaline,then wamtoe welback nafasi yake asimame walcot. Italy Baloteli ni mzigo,atoke na Di natale aingie...